Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 11,293
- 19,130
Ukiona hivyo huyo ana uhakika wa mgao wa wiki
Eti hakufanyia mitambo ukarabati. Sikumpenda Magu, lakini kuna vitu anasingiziwa sana, hasa na MakambaHv huku ndio tulipofika!!??
Rip Magu
Jamani, Tanzania hakuna kanjibai? Kariakoo hapoMbona huyuu jamaa anawaongopea kweupe???unamuona kabisa kanjibai hapo
Sio Tanzania hiyooo...
Hakika huyu jamaa ana imani kubwa sana na kipara.
Mie nina wasiwasi na watoto, maana wameanza ku assume nyaya za Tanesco sio hatari siku hizi!Hakika huyu jamaa ana imani kubwa sana na kipara.
RIP Rais ambae hakuwa na uwoga wala kupindisha pindishaHv huku ndio tulipofika!!??
Rip Magu
Huoni kama wanaokoa maisha ya wengine,fikiria kama huyo tungekuwa tunasema RIP,mwanajf mwenzetu😄Ndio maana nikasema watu wanawaamini sana Makamba na Tanesco Mkuu, unakuwa na uhakika umeme hauji kama walivyosema!
Kariakooo!hahahaha India hapo
Aisee ..RIP Rais ambae hakuwa na uwonga wala kupindisha pindisha
Jamaa ana ratiba ya umeme eneo lake! Ukirudi nguo zilishaanuliwa saa nyingi!Huoni kama wanaokoa maisha ya wengine,fikiria kama huyo tungekuwa tunasema RIP,mwanajf mwenzetu😄