Katika dhambi iliyowahi kufanyika nchi hii ni kumteua Makamba na Maharage TANESCO

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,906
Katika dhambi iliyowahi kufanyika nchi hii ni kumteua Makamba na Maharage TANESCO

KWANZA NAANDIKA HUU UZI NIWEKE WAZI SINA CHUKI NA MAKAMBA WALA MAHARAGE ILA NITASEMA UKWELI TU BILA KUMUNG'UNYA MANENO HAWA WAWILI WALIPASWA WAWE JELA

Hakuna dhambi mbaya itakayolicost taifa kwa miaka 10 ijayo kwa hasara na kulipia madhambi kama hii dhambi ya kumteua Makamba kuwa waziri wa nishati na Maharage kuwa boss wa Tanesco!!

Alichokifanya Makamba ni kubomoa misingi yote ya ukuaji na uimarikaji wa shirika, kabla ya ujio wa Makamba na Maharage tulikua tushaanza kutoka kwenye yale matatizo makubwa ya umeme na tulikua na uafadhali mkubwa sana hali ilikua imeimarika sana kiasi kuna maeneo yalikua umeme haukatikagi kabisa basi ukikatika hadi mnashangaa na dk kadhaa tu unarudi.

Tulikua tushasahau kabisa shida za umeme kukatika kwa masaa mengi but What Makamba and maharage did?

-Wakakodi application software kutoka India kwa bilioni 70

-Kufungulia maji bwawa la Mtera na kufanya nchi kuingia kwenye mgao

-Akasema apewe trilioni 5 apeleke umeme vijiji vyote

-Bado akaomba trilioni 15 nafikiri eti ni kukarabati mitambo nikasikia wakaanza kumpa bilioni 500 kila bajeti akazipiga

-Akaongea na watu wake wa nje wakaleta majenereta karibia elfu 10 ya kuuza

-Bado ishu za mafuta akatupiga

-Akalihujumu bwawa la Nyerere kwa maksudi maana huyu jamaa na mwenzie yule wa Mtama waliupinga huu mradi kwa nguvu zote, baada ya kuona kelele zimezidi akakubali mradi uendelee kwashingo upande maana anajua madili yake ya Solar,mafuta,na jenereta zingekufa.

wakasuka mpango wa kulihujumu bwawa hata likija kukamilika litoe megawatts 300-400 pekee badala ya 2000+ ili waendelee ni miradi yao uchwara ya upepo,solar,majenereta na mafuta.
Mabilioni ya mita za luku yeye na maharage wakazipiga

Bado zile ngonjera za matengenezo kila mwaka umeme unakatika anasema ni matengenezo na kudai mitambo ni mibovu so anabadilisha na apewe pesa.. kumbe za kutoka huko huko Tanesco zinadai alikua saa nyingine umeme ukatwe tu na wafanye matengenezo feki ili hela tu zipigwe na mgao uwepo auze majenereta na mafuta.

Mara kafumua gridi mara kafanya hivi mara kafanye vile zote zilikua ni drama na miradi ya upigaji tu.

Nikikaa sawa nitamwaga mafile yote ya huyu mtu humu mtashika mdomo kila mmoja kwa mshangao msione tunanyamazaga, tunayajua mengi mno makovu na vidonda aliyoliachia taifa huko Tanesco litachukua zaidi miaka 10 kupona.

Katika dhambi iliyowahi kufanyika ni kumteua huyu bwana pamoja na Maharage, Rais Samia kwa hili ulikosea hii dhambi ni ya kutubu kabisa na kuliomba taifa zima radhi .

Watu kama Makamba na Maharage bila kumung'unya maneno au unafiki walipaswa kuwa jela na kuwa chini ya mikono na hatua kali za kisheria, ingekua ni nchi nyingine wangekua washanyongwa!! Walichokifanya pale Tanesco ni wizi,ufisadi,rushwa na uhujumu uchumi uliopitiliza!!
 
Makamba ni Janga na unatamani kumtoa lakini inakuwa ngumu maana kila ukitaka kumtoa unaahirisha mwenyewe ni shida tupu, hata shujaa alipata taabu Sana mpk kuja kumtoa
 
Hakuna ushahidi umeweka, ni ngonjera ambazo yoyote anaweza kuandika.
Weka kielekezo chochote tuamini..
Alisema umeme unakatika kwasababu mitambo imechakaa kwa kukosa service,

Weka ushahidi wa umeme kutokatika baada ya kupewa pesa za kufanya service hiyo mitambo aliyosema inasababisha umeme kukatika kwa kukosa service.
 
Uenda aliyefanya hiyo dhambi ametubia haswa baada ya kumuweka waziri mwingine tena mwenye nafasi ya 4 kiserikali hiyo ni ushahidi tosha wa kutubu kwake Kwa maana nguvu aliyonayo aliyopo ni rahisi kuweza yatambua madudu ya Mtangulizi wake (Makamba) na kuyachukulia hatua Kwa nidhamu za na utu.

Tanesco ni dude kubwaaaaaaaa hivyo ukiingia kichwa kichwa utaona hapa si ndiyo shamba la Bibi kumbe baada ya muda matokeo yakikosekana linageuka Pori kwako haya Makamba na Maharage waliyachukulia powa, Jamaa walitaka kubadilisha Mifumo mingi ikiwemo kipunguza wafanyakazi Kwa baadhi ya Kada zisizo za kiufundi, walikata matumizi ya shirika Kwa kigezo cha kuelekezea nguvu kwenye miradi ya kimkakati lakini wapi ikawa fupa gumu, mikoa haina hata vifungio vya njia za umeme (Pg) kazi Yao ikawa vikao vingi vya online bila matokeo chanya . Tanesco iko na viongozi waoga pia wanashindwa Simamia taaluma Yao hivi hizi katika katika za umeme kila wakati zinakuwa kikwazo Kwa shirika lenye wahandisi 500+ kweli mchawi wetu ukute naye amelogwa pia, Makamba + Maharage waliendekeza sana ukaribu wao Kwa Mh Raisi kuona chaka la kumuingiza king Kwa Mambo yasiyokuwa na matokeo chanya Kwa wananchi dhidi ya upatikanaji wa umeme wa uhakika na nafuu.

Hapa aliyopo sasa waziri na Mkurugenzi wake wazingatie machache Kwa maslahi ya unafuu wa yaliyopita ,
1. Wasaidizi wa Mkurugenzi siyo wakuleta matokeo chanya piga Chini wote hivyo vizee vipo kupiga pesa na kujenga makundi huko Chini Kwa Chini ili kupata mizizi zaidi, Tia vijana hata kutoka nje ya shirika wenye maono mazuri yenye tija Kwa maslahi mapana ya shirika na Taifa.

2.Hakikisha fedha zinatumika kama zilivyopangwa kweye bajeti Kwa maana watangulizi wenu walikuwa na uwezo wa kuchukua pesa toka popote Kwa Jambo lolote huu ni ujinga na ushamba wa hali ya juu, kwani ilikuwa inazolotesha mipango mingi iliyo kwenye ratiba.

3. Fanyeni matengenezo kwenye njia zenu za umeme zote Kwa umakini na weledi ili kupunguza au kutoa kabisa kukatika Kwa umeme mara Kwa mara , mfano matengezo Kwa kushirikisha kanda nzima ni Jambo zuri mno na lilileta tija wakati wa mwendazake fuateni nyayo hizo.

4. Wafanyakazi walipwe masaa ya ziada yote na si kubagua baadhi ya idara kuwa fully wengine kuwa very partial Kwa malipo pia toeni ujinga wa extra duty ni upumbavu na njia ya kuwanyonya wafanyakazi.

5.Mameneja wengi wa kanda, mikoa na wilaya ni hawajui majukumu Yao hapa ndipo shirika linapoteza taswira kabisa kwani kioo cha Tanesco ni idara ya usambazaji lakini imejaa watendaji wabovu yaani wapiga Soga na madili wanakosa ufuatiliaji wa kazi zao Kwa umakini matokeo yake malalamiko mengi kuhusu wateja , chujeni hili kundi Kwa chujio madhubuti mtaona matokeo chanya mapema mno.

Mwisho; Kiongozi bora ni Yule mwenye kusikia , kufuatilia, kuchunguza na kisha kutolea ufumbuzi kadhia za anao waongoza.
 
Nishati muhimu ya umeme ukijumuisha na yale maharage ya mwezi Januari
 
Naamini hadi mama samia sasa hivi kashazoe kiti atakuwa ameshajua jinsi makamba alivyo taka taka sadly enough he has money no can stop him from becoming the president of tz .. so we should stop him before its to late.
 
Katika dhambi iliyowahi kufanyika nchi hii ni kumteua Makamba na Maharage TANESCO

KWANZA NAANDIKA HUU UZI NIWEKE WAZI SINA CHUKI NA MAKAMBA WALA MAHARAGE ILA NITASEMA UKWELI TU BILA KUMUNG'UNYA MANENO HAWA WAWILI WALIPASWA WAWE JELA

Hakuna dhambi mbaya itakayolicost taifa kwa miaka 10 ijayo kwa hasara na kulipia madhambi kama hii dhambi ya kumteua Makamba kuwa waziri wa nishati na Maharage kuwa boss wa Tanesco!!

Alichokifanya Makamba ni kubomoa misingi yote ya ukuaji na uimarikaji wa shirika, kabla ya ujio wa Makamba na Maharage tulikua tushaanza kutoka kwenye yale matatizo makubwa ya umeme na tulikua na uafadhali mkubwa sana hali ilikua imeimarika sana kiasi kuna maeneo yalikua umeme haukatikagi kabisa basi ukikatika hadi mnashangaa na dk kadhaa tu unarudi.

Tulikua tushasahau kabisa shida za umeme kukatika kwa masaa mengi but What Makamba and maharage did?

-Wakakodi application software kutoka India kwa bilioni 70

-Kufungulia maji bwawa la Mtera na kufanya nchi kuingia kwenye mgao

-Akasema apewe trilioni 5 apeleke umeme vijiji vyote

-Bado akaomba trilioni 15 nafikiri eti ni kukarabati mitambo nikasikia wakaanza kumpa bilioni 500 kila bajeti akazipiga

-Akaongea na watu wake wa nje wakaleta majenereta karibia elfu 10 ya kuuza

-Bado ishu za mafuta akatupiga

-Akalihujumu bwawa la Nyerere kwa maksudi maana huyu jamaa na mwenzie yule wa Mtama waliupinga huu mradi kwa nguvu zote, baada ya kuona kelele zimezidi akakubali mradi uendelee kwashingo upande maana anajua madili yake ya Solar,mafuta,na jenereta zingekufa.

wakasuka mpango wa kulihujumu bwawa hata likija kukamilika litoe megawatts 300-400 pekee badala ya 2000+ ili waendelee ni miradi yao uchwara ya upepo,solar,majenereta na mafuta.
Mabilioni ya mita za luku yeye na maharage wakazipiga

Bado zile ngonjera za matengenezo kila mwaka umeme unakatika anasema ni matengenezo na kudai mitambo ni mibovu so anabadilisha na apewe pesa.. kumbe za kutoka huko huko Tanesco zinadai alikua saa nyingine umeme ukatwe tu na wafanye matengenezo feki ili hela tu zipigwe na mgao uwepo auze majenereta na mafuta.

Mara kafumua gridi mara kafanya hivi mara kafanye vile zote zilikua ni drama na miradi ya upigaji tu.

Nikikaa sawa nitamwaga mafile yote ya huyu mtu humu mtashika mdomo kila mmoja kwa mshangao msione tunanyamazaga, tunayajua mengi mno makovu na vidonda aliyoliachia taifa huko Tanesco litachukua zaidi miaka 10 kupona.

Katika dhambi iliyowahi kufanyika ni kumteua huyu bwana pamoja na Maharage, Rais Samia kwa hili ulikosea hii dhambi ni ya kutubu kabisa na kuliomba taifa zima radhi .

Watu kama Makamba na Maharage bila kumung'unya maneno au unafiki walipaswa kuwa jela na kuwa chini ya mikono na hatua kali za kisheria, ingekua ni nchi nyingine wangekua washanyongwa!! Walichokifanya pale Tanesco ni wizi,ufisadi,rushwa na uhujumu uchumi uliopitiliza!!
Mkuu ingekuwa vyema zaidi ungeweka na ushahidi wa tuhuma zote ulizoorodhesha hapa na ikiwezekana mahakamani!

Bila hivyo unachuki binafsi! Tulia mkuu si Naibu waziri mkuu yupo usukani, yote yataisha!
 
Katika dhambi iliyowahi kufanyika nchi hii ni kumteua Makamba na Maharage TANESCO

KWANZA NAANDIKA HUU UZI NIWEKE WAZI SINA CHUKI NA MAKAMBA WALA MAHARAGE ILA NITASEMA UKWELI TU BILA KUMUNG'UNYA MANENO HAWA WAWILI WALIPASWA WAWE JELA

Hakuna dhambi mbaya itakayolicost taifa kwa miaka 10 ijayo kwa hasara na kulipia madhambi kama hii dhambi ya kumteua Makamba kuwa waziri wa nishati na Maharage kuwa boss wa Tanesco!!

Alichokifanya Makamba ni kubomoa misingi yote ya ukuaji na uimarikaji wa shirika, kabla ya ujio wa Makamba na Maharage tulikua tushaanza kutoka kwenye yale matatizo makubwa ya umeme na tulikua na uafadhali mkubwa sana hali ilikua imeimarika sana kiasi kuna maeneo yalikua umeme haukatikagi kabisa basi ukikatika hadi mnashangaa na dk kadhaa tu unarudi.

Tulikua tushasahau kabisa shida za umeme kukatika kwa masaa mengi but What Makamba and maharage did?

-Wakakodi application software kutoka India kwa bilioni 70

-Kufungulia maji bwawa la Mtera na kufanya nchi kuingia kwenye mgao

-Akasema apewe trilioni 5 apeleke umeme vijiji vyote

-Bado akaomba trilioni 15 nafikiri eti ni kukarabati mitambo nikasikia wakaanza kumpa bilioni 500 kila bajeti akazipiga

-Akaongea na watu wake wa nje wakaleta majenereta karibia elfu 10 ya kuuza

-Bado ishu za mafuta akatupiga

-Akalihujumu bwawa la Nyerere kwa maksudi maana huyu jamaa na mwenzie yule wa Mtama waliupinga huu mradi kwa nguvu zote, baada ya kuona kelele zimezidi akakubali mradi uendelee kwashingo upande maana anajua madili yake ya Solar,mafuta,na jenereta zingekufa.

wakasuka mpango wa kulihujumu bwawa hata likija kukamilika litoe megawatts 300-400 pekee badala ya 2000+ ili waendelee ni miradi yao uchwara ya upepo,solar,majenereta na mafuta.
Mabilioni ya mita za luku yeye na maharage wakazipiga

Bado zile ngonjera za matengenezo kila mwaka umeme unakatika anasema ni matengenezo na kudai mitambo ni mibovu so anabadilisha na apewe pesa.. kumbe za kutoka huko huko Tanesco zinadai alikua saa nyingine umeme ukatwe tu na wafanye matengenezo feki ili hela tu zipigwe na mgao uwepo auze majenereta na mafuta.

Mara kafumua gridi mara kafanya hivi mara kafanye vile zote zilikua ni drama na miradi ya upigaji tu.

Nikikaa sawa nitamwaga mafile yote ya huyu mtu humu mtashika mdomo kila mmoja kwa mshangao msione tunanyamazaga, tunayajua mengi mno makovu na vidonda aliyoliachia taifa huko Tanesco litachukua zaidi miaka 10 kupona.

Katika dhambi iliyowahi kufanyika ni kumteua huyu bwana pamoja na Maharage, Rais Samia kwa hili ulikosea hii dhambi ni ya kutubu kabisa na kuliomba taifa zima radhi .

Watu kama Makamba na Maharage bila kumung'unya maneno au unafiki walipaswa kuwa jela na kuwa chini ya mikono na hatua kali za kisheria, ingekua ni nchi nyingine wangekua washanyongwa!! Walichokifanya pale Tanesco ni wizi,ufisadi,rushwa na uhujumu uchumi uliopitiliza!!
Sawa kapewa bwanako be-Teko
 
Katika dhambi iliyowahi kufanyika nchi hii ni kumteua Makamba na Maharage TANESCO

KWANZA NAANDIKA HUU UZI NIWEKE WAZI SINA CHUKI NA MAKAMBA WALA MAHARAGE ILA NITASEMA UKWELI TU BILA KUMUNG'UNYA MANENO HAWA WAWILI WALIPASWA WAWE JELA

Hakuna dhambi mbaya itakayolicost taifa kwa miaka 10 ijayo kwa hasara na kulipia madhambi kama hii dhambi ya kumteua Makamba kuwa waziri wa nishati na Maharage kuwa boss wa Tanesco!!

Alichokifanya Makamba ni kubomoa misingi yote ya ukuaji na uimarikaji wa shirika, kabla ya ujio wa Makamba na Maharage tulikua tushaanza kutoka kwenye yale matatizo makubwa ya umeme na tulikua na uafadhali mkubwa sana hali ilikua imeimarika sana kiasi kuna maeneo yalikua umeme haukatikagi kabisa basi ukikatika hadi mnashangaa na dk kadhaa tu unarudi.

Tulikua tushasahau kabisa shida za umeme kukatika kwa masaa mengi but What Makamba and maharage did?

-Wakakodi application software kutoka India kwa bilioni 70

-Kufungulia maji bwawa la Mtera na kufanya nchi kuingia kwenye mgao

-Akasema apewe trilioni 5 apeleke umeme vijiji vyote

-Bado akaomba trilioni 15 nafikiri eti ni kukarabati mitambo nikasikia wakaanza kumpa bilioni 500 kila bajeti akazipiga

-Akaongea na watu wake wa nje wakaleta majenereta karibia elfu 10 ya kuuza

-Bado ishu za mafuta akatupiga

-Akalihujumu bwawa la Nyerere kwa maksudi maana huyu jamaa na mwenzie yule wa Mtama waliupinga huu mradi kwa nguvu zote, baada ya kuona kelele zimezidi akakubali mradi uendelee kwashingo upande maana anajua madili yake ya Solar,mafuta,na jenereta zingekufa.

wakasuka mpango wa kulihujumu bwawa hata likija kukamilika litoe megawatts 300-400 pekee badala ya 2000+ ili waendelee ni miradi yao uchwara ya upepo,solar,majenereta na mafuta.
Mabilioni ya mita za luku yeye na maharage wakazipiga

Bado zile ngonjera za matengenezo kila mwaka umeme unakatika anasema ni matengenezo na kudai mitambo ni mibovu so anabadilisha na apewe pesa.. kumbe za kutoka huko huko Tanesco zinadai alikua saa nyingine umeme ukatwe tu na wafanye matengenezo feki ili hela tu zipigwe na mgao uwepo auze majenereta na mafuta.

Mara kafumua gridi mara kafanya hivi mara kafanye vile zote zilikua ni drama na miradi ya upigaji tu.

Nikikaa sawa nitamwaga mafile yote ya huyu mtu humu mtashika mdomo kila mmoja kwa mshangao msione tunanyamazaga, tunayajua mengi mno makovu na vidonda aliyoliachia taifa huko Tanesco litachukua zaidi miaka 10 kupona.

Katika dhambi iliyowahi kufanyika ni kumteua huyu bwana pamoja na Maharage, Rais Samia kwa hili ulikosea hii dhambi ni ya kutubu kabisa na kuliomba taifa zima radhi .

Watu kama Makamba na Maharage bila kumung'unya maneno au unafiki walipaswa kuwa jela na kuwa chini ya mikono na hatua kali za kisheria, ingekua ni nchi nyingine wangekua washanyongwa!! Walichokifanya pale Tanesco ni wizi,ufisadi,rushwa na uhujumu uchumi uliopitiliza!!
Huna akili dada
 
Back
Top Bottom