admiral elect
Member
- Nov 30, 2011
- 93
- 29
na ushahidi wa mvua matopeHapana, dalili ya mvua ni mawingu.....
na ushahidi wa mvua matopeHapana, dalili ya mvua ni mawingu.....
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
great sex!Mabinti wa chuo in most cases wako strange... mara nyingi wako na wanaume ambao image zao zinauza mbele ya jamii ya wanachuo. Na hakukubai kwa kubahatisha, ni vigezo viingi aangalia. Na kama kakukubali then ndio anaanza kutoa hivo vigezo sio kwamba anakua hakutaki tena... Lah! ila tu ina maana zile expections alikua akitegemea kuzipata kwako iwe boom yako yoote/great sex/outings/provision ya videsa ama lolote; inakua kwamba umeshindwa hio nafasi alio kupachika. Take note; yule ambae ni mstaarabu na hasa alikukubali kwa sababu ya hisia juu yako ni nadra atatumia hio mistari kukupotezea.... at least that is what I think....
kha , afu mwisho wa siku unamuachia maumivu mwenzako ukute amekupenda kweli.Pole mkuu.Hivi vibinti vya chuo vinamatatizo sana.Dawa yao kivalishe pete ya Uchumba fake then utakula tambalaleee.
we mkal.!!! Yamekukuta nn mkuu..
Je wanaofanya kazi wanakuwaje?
Pole mkuu.Hivi vibinti vya chuo vinamatatizo sana.Dawa yao kivalishe pete ya Uchumba fake then utakula tambalaleee.
Nyie ndo mnaotukosesha wengine wake wa kuoa. Hivi ukishafanya hivyo, huyo demu atakuja kumuamini kidume mwingine kweli pindi utakapomtosa? Aisee bora umshawishi kwa vingine sio hiyo gia ya pete, unamtia mkosi mtoto wa watu aisee!
Nyie ndo mnaotukosesha wengine wake wa kuoa. Hivi ukishafanya hivyo, huyo demu atakuja kumuamini kidume mwingine kweli pindi utakapomtosa? Aisee bora umshawishi kwa vingine sio hiyo gia ya pete, unamtia mkosi mtoto wa watu aisee!
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!