Ukitaka kujua msichana wa chuo hakutaki tena haya ndiyo majibu yao

1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!

Hii michezo mbona imechezeka sana tu!!!yani hapa hujakosea hata kidogo...wengine hadi walikuwa wanadanganywa kuwa kuna mtihani hadi saa sita usiku ndo mtu anatoka hasa ukute jamaa hajafika chuo!! dhambi hizi Mungu atusamehe bure jaman!! dahhh acha tu
 
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!

Haya bwana mwenye macho ameona kisha akasoma
 
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!

mwache mtoto wa watu asome shule asije kufeli kwa kubuni majukumu nje ya lile lililompeleka kule darasani...........
 
Mabinti wa chuo in most cases wako strange... mara nyingi wako na wanaume ambao image zao zinauza mbele ya jamii ya wanachuo. Na hakukubai kwa kubahatisha, ni vigezo viingi aangalia. Na kama kakukubali then ndio anaanza kutoa hivo vigezo sio kwamba anakua hakutaki tena... Lah! ila tu ina maana zile expections alikua akitegemea kuzipata kwako iwe boom yako yoote/great sex/outings/provision ya videsa ama lolote; inakua kwamba umeshindwa hio nafasi alio kupachika. Take note; yule ambae ni mstaarabu na hasa alikukubali kwa sababu ya hisia juu yako ni nadra atatumia hio mistari kukupotezea.... at least that is what I think....
great sex!
do they really care about the so called great sex...............................I have my doubts................matumizi...............yes they do care........................poclket money..........they do love it with all their heart.......................what about feelings? Few do but under peer pressure even that counts for nothing..................................this is a reason they end up in incompatible relationships just to earn undeserved living..................waswahili wasemavyo "mtumikie kafiri upate mradi wako" becomes a mantra to guide them into total unhappiness............
 
Unfortunately, the world is filled with females who will dash your dreams and ruin your life. Therefore choose your mate wisely.


hAPPY vALENTINE DAY
 
dah, hii issue inafurahisha but ina-represent hali halisi ya jinsi jamaa wanavyopigwa changa la macho na vibinti vya chuo (of course vingi vina wanaume kibao so lazima vitumie mbinu kama hizo kuwapanga); na ndio maana jamaa nao wakifanikiwa kuviweka kati huwa wanavigawia maumivu ya kufa mtu ili kuvishikisha adabu...
 
Na mtu mzima anakutolea zipi

Nina ingia mkutanoni ntakupigia
Niko kwa mkutano NTAKUPIGIA
Niko busy kidogo NTAKUPIGIA
Asipopokea, niliacha ofisini kwangu nilikuwa kwa boss
Nilikuwa katikati ya mkutano

Akizima: Nilikuwa na boss wangu
Tulikuwa na mkutano
 
Nyie ndo mnaotukosesha wengine wake wa kuoa. Hivi ukishafanya hivyo, huyo demu atakuja kumuamini kidume mwingine kweli pindi utakapomtosa? Aisee bora umshawishi kwa vingine sio hiyo gia ya pete, unamtia mkosi mtoto wa watu aisee!

Ndyoko umenifanya nicheke sana. Naiona hasira yako kati ya mistari. Hata hivyo safi umempa ukweli.
 
Nyie ndo mnaotukosesha wengine wake wa kuoa. Hivi ukishafanya hivyo, huyo demu atakuja kumuamini kidume mwingine kweli pindi utakapomtosa? Aisee bora umshawishi kwa vingine sio hiyo gia ya pete, unamtia mkosi mtoto wa watu aisee!

siku hizi ni full usanii ati! nakumbuka kisa kimoja siku za nyuma ambapo jamaa ameenda na demu club halafu anamwambia demu kuwa yeye ni meneja wa benki moja maarufu sana wakati jamaa ni mpiga debe stand...demu nae kuona hivyo hakubaki nyuma akadai nae ni denti wa form one wakati ngozi inonyesha kabisa kwamba ni kahaba lililokubuhu! hapo kila mtu akawa anajisifia kumpata mwenzie! duh alieuza dhahabu feki kapewa pesa bandia! usanii hulipwa kwa usanii.
 
Kuna buzi mmoja mlugaluga wa uraiani alifika maeneo ya chuo akampigia demu wake mwanachuo simu, akaambiwa yupo discussion. Jamaa akaja kwangu akaniuliza, "Eti Discussion ndio wapi hapa chuo?" akidhani kwamba kuna eneo pale chuo linaitwa 'Discussion' !!!
 
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!

Majibu No.1, 5 na 9 si mabaya sana, 50-50 ila yalobaki yoote ni kweli.
 
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!

duu ngoja ni stuke mapemaa maana keshaanza hizo mambo..
 
Mbona wanapigika tu na vijisababu vyao? Tena vocha hata ya elfu 2000 kwao ni kubwa....hawahitaji kupangishwa nyumba wala nini wako hostel....they are very cheap you can manage to deal with even ten of them....jipange tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom