1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
Thru experience nimeiona hiyo sana na kunitokea ukiona hivyo ww kula kona kwani hapo huna chako.1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
HG wa jirani kaka, mbona iko wazi? tunaongezea kwene hiyo buku 30 halafu tunapunguza uzito.buku tano anakula kwako ama hgirlwa wengine??sikuhizi ukibagain mshahara buku 30 unamwambia ntakuongezea 10-15 yako sasa anaipataje ndio naona hako kamchezo ndio mnakatumia san sana anyway kazi ipo
Hapana, dalili ya mvua ni mawingu.....Aisifuye mvua imemnyeshea
aisee kumbe..nishakutana nayo hii hali..kwa mtoto wa IFM
...nilitegemea mdada wa chuo kikuu awe ni wife material ya ukweli...
lakini hakuna ***** kama hao watu,...
mm wakwangu alikua ananiambia:niko library nipigie baadae(kwa sauti ya kunong'oneza...u know wat i mean) kumbe yuko kifuani kwa kibeberu...pumbafu!!
Mabinti wa chuo in most cases wako strange... mara nyingi wako na wanaume ambao image zao zinauza mbele ya jamii ya wanachuo. Na hakukubai kwa kubahatisha, ni vigezo viingi aangalia. Na kama kakukubali then ndio anaanza kutoa hivo vigezo sio kwamba anakua hakutaki tena... Lah! ila tu ina maana zile expections alikua akitegemea kuzipata kwako iwe boom yako yoote/great sex/outings/provision ya videsa ama lolote; inakua kwamba umeshindwa hio nafasi alio kupachika. Take note; yule ambae ni mstaarabu na hasa alikukubali kwa sababu ya hisia juu yako ni nadra atatumia hio mistari kukupotezea.... at least that is what I think....
Nyie ndo mnaotukosesha wengine wake wa kuoa. Hivi ukishafanya hivyo, huyo demu atakuja kumuamini kidume mwingine kweli pindi utakapomtosa? Aisee bora umshawishi kwa vingine sio hiyo gia ya pete, unamtia mkosi mtoto wa watu aisee!
Vipi na vidume vianachuo navyo vina stail gani!
Jibu hilo hapo chini...siyo lazima niwe mimiwe mkal.!!! Yamekukuta nn mkuu..
...nilitegemea mdada wa chuo kikuu awe ni wife material ya ukweli...
lakini hakuna ***** kama hao watu,...
mm wakwangu alikua ananiambia:niko library nipigie baadae(kwa sauti ya kunong'oneza...u know wat i mean) kumbe yuko kifuani kwa kibeberu...pumbafu!!
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
Hahahha!Pole sana mkuu,ndio ukubwa huoaisee kumbe..nishakutana nayo hii hali..kwa mtoto wa IFM
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!