Ukistaajabu ya tozo, tazama wafanyabiashara tunavyoumizwa na serikali

Huwa namshangaa sana kiongozi anayewashauri watu wajiajiri!

Kujiajiri Tanzania inabidi kwanza ujitoe ufahamu kabla ya kupata faida!
Ebu fikilia haya malipo ya serikali yalivyo hayana uhalisia!
  • Unatafta wazo la biashara,mtaji na fursa lakini TRA hawanaga grace period kwa wafanyabiashara wadogo kama ilivyo kwa uwekezaji mkubwa
  • TRA hawana muda wa kufikilia TIN zenye msamaha wa kodi kwa wafanya biashara wanaoanza!
  • Malipo ya pango la biashara lazima mfanyabiashara ukalipie 10% ...wakati aliyetakiwa kutoa hiyo ni mwenye nyumba ulipo panga wewe! Lakini kwasababu mfanyabiashara unashida wanakubana wewe!
  • Halmashauri na manispaa pasipo kukupa msaada wowote, ukifuata leseni wanakutoza pesa kuanzia elf 80 hadi laki tano kulingana na biashara yako! Tena kibaya zaidi unawafuata ofisini kwao ukapange foleni hata juisi ya kufuta jasho la nauli kwa kuwapelekea pesa ofisini hawakupi, sasa ebu jiuloze pesa zote hizo manispaa wanachukua kwa mchango UPI waliompa mfanyabiashara kama siyo dhulma?
  • Malipo ya leseni yanaumiza sana kwasababu kwanza hawajishughulishi hata kukupa elimu ya biashara, hawakutaftii wateja hawakupi ofa yoyote zaidi ya kukukamua tena wakiwa ofisini kwao.
  • Ukifanikiwa kufungua matawi ya biashara yako, ajabu kila manispaa utaombwa kulipia mfano! Kama leseni ni tsh 350000 ukiweka tawi kila wilaya utatakiwa kuilipa pesa hiyo kila wilaya utazani ni nchi tofauti wakati uko Tanzania moja
  • Yote tisa kote pesa wamechukua pasipo hata grace period, ukitaka kuweka bango la kujitangaza biashara yako watakuja Kudai ULIPIE BANGO Lako la kujitangaza, wanakuchaji kwa square meter.
Yapo mengi sana wafanyabiashara tunadhulumiwa na selikali kuna wakati natamani katiba iseme wazi kabisa! KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MFANYABIASHARA Mwenye biashara ya jina lake iliyofanya kazi angalau miaka 10 na kuendelea! Labda itasaidia kutuelewa tunavyoumia wafanyabiashara.

Manispaa wanapata pesa za bure sana na sielewi kwanini LESENI ZAO zisiwe bure au wapunguze anagalau bei ya juu kabisa kwa duka,yard au kampuni isizidi lakimoja!

Na ikiwrzekana makao makuu ya ofisini ilipo ndipo inatakiwa kulipiwa leseni na huko kwenye matawi ipelekwe nakala au walipie kwa nusu bei!

View attachment 2330892
 
Huwa namshangaa sana kiongozi anayewashauri watu wajiajiri!

Kujiajiri Tanzania inabidi kwanza ujitoe ufahamu kabla ya kupata faida!
Ebu fikilia haya malipo ya serikali yalivyo hayana uhalisia!
  • Unatafta wazo la biashara,mtaji na fursa lakini TRA hawanaga grace period kwa wafanyabiashara wadogo kama ilivyo kwa uwekezaji mkubwa
  • TRA hawana muda wa kufikilia TIN zenye msamaha wa kodi kwa wafanya biashara wanaoanza!
  • Malipo ya pango la biashara lazima mfanyabiashara ukalipie 10% ...wakati aliyetakiwa kutoa hiyo ni mwenye nyumba ulipo panga wewe! Lakini kwasababu mfanyabiashara unashida wanakubana wewe!
  • Halmashauri na manispaa pasipo kukupa msaada wowote, ukifuata leseni wanakutoza pesa kuanzia elf 80 hadi laki tano kulingana na biashara yako! Tena kibaya zaidi unawafuata ofisini kwao ukapange foleni hata juisi ya kufuta jasho la nauli kwa kuwapelekea pesa ofisini hawakupi, sasa ebu jiuloze pesa zote hizo manispaa wanachukua kwa mchango UPI waliompa mfanyabiashara kama siyo dhulma?
  • Malipo ya leseni yanaumiza sana kwasababu kwanza hawajishughulishi hata kukupa elimu ya biashara, hawakutaftii wateja hawakupi ofa yoyote zaidi ya kukukamua tena wakiwa ofisini kwao.
  • Ukifanikiwa kufungua matawi ya biashara yako, ajabu kila manispaa utaombwa kulipia mfano! Kama leseni ni tsh 350000 ukiweka tawi kila wilaya utatakiwa kuilipa pesa hiyo kila wilaya utazani ni nchi tofauti wakati uko Tanzania moja
  • Yote tisa kote pesa wamechukua pasipo hata grace period, ukitaka kuweka bango la kujitangaza biashara yako watakuja Kudai ULIPIE BANGO Lako la kujitangaza, wanakuchaji kwa square meter.
Yapo mengi sana wafanyabiashara tunadhulumiwa na selikali kuna wakati natamani katiba iseme wazi kabisa! KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MFANYABIASHARA Mwenye biashara ya jina lake iliyofanya kazi angalau miaka 10 na kuendelea! Labda itasaidia kutuelewa tunavyoumia wafanyabiashara.

Manispaa wanapata pesa za bure sana na sielewi kwanini LESENI ZAO zisiwe bure au wapunguze anagalau bei ya juu kabisa kwa duka,yard au kampuni isizidi lakimoja!

Na ikiwrzekana makao makuu ya ofisini ilipo ndipo inatakiwa kulipiwa leseni na huko kwenye matawi ipelekwe nakala au walipie kwa nusu bei!

View attachment 2330892
Ongezeni na tozo ya
  • Pumzi
  • Kiu ya maji
  • Choo kubwa na ndogo
 
Lipa Kodi kwa manufaa na maendeleo ya nchi yako, Mimi hapa Ni mtumishi Kodi yangu kwa mwezi Ni shilingi 200,000/= bado nina biashara yangu ambayo leseni nalipia sh 150,000/= wakati huo tra ninalipa 50,000/ ,yote haya Mimi Naona Ni sawa kwani tunapambania maendeleo ya nchi yetu.

Tatizo watanzania tumezoea lelemama, hata mabepari yanasema, no free lunch in capitalist system!!

Tukubali tukatae Kodi lazima ilipwe!!
Ukiwa umeajiriwa na unafanya biashara ni ngumu sana kuona changamoto zilizoko kwenye biashara maana wewe una backup ya hiyo ajira yako, sasa acha kazi, ujiajiri, uwe na familia ya watu watano hivi wanaokutegemea ndiyo utajua anachosema mtoa mada.
 
Huwa namshangaa sana kiongozi anayewashauri watu wajiajiri!

Kujiajiri Tanzania inabidi kwanza ujitoe ufahamu kabla ya kupata faida!
Ebu fikilia haya malipo ya serikali yalivyo hayana uhalisia!
  • Unatafta wazo la biashara,mtaji na fursa lakini TRA hawanaga grace period kwa wafanyabiashara wadogo kama ilivyo kwa uwekezaji mkubwa
  • TRA hawana muda wa kufikilia TIN zenye msamaha wa kodi kwa wafanya biashara wanaoanza!
  • Malipo ya pango la biashara lazima mfanyabiashara ukalipie 10% ...wakati aliyetakiwa kutoa hiyo ni mwenye nyumba ulipo panga wewe! Lakini kwasababu mfanyabiashara unashida wanakubana wewe!
  • Halmashauri na manispaa pasipo kukupa msaada wowote, ukifuata leseni wanakutoza pesa kuanzia elf 80 hadi laki tano kulingana na biashara yako! Tena kibaya zaidi unawafuata ofisini kwao ukapange foleni hata juisi ya kufuta jasho la nauli kwa kuwapelekea pesa ofisini hawakupi, sasa ebu jiuloze pesa zote hizo manispaa wanachukua kwa mchango UPI waliompa mfanyabiashara kama siyo dhulma?
  • Malipo ya leseni yanaumiza sana kwasababu kwanza hawajishughulishi hata kukupa elimu ya biashara, hawakutaftii wateja hawakupi ofa yoyote zaidi ya kukukamua tena wakiwa ofisini kwao.
  • Ukifanikiwa kufungua matawi ya biashara yako, ajabu kila manispaa utaombwa kulipia mfano! Kama leseni ni tsh 350000 ukiweka tawi kila wilaya utatakiwa kuilipa pesa hiyo kila wilaya utazani ni nchi tofauti wakati uko Tanzania moja
  • Yote tisa kote pesa wamechukua pasipo hata grace period, ukitaka kuweka bango la kujitangaza biashara yako watakuja Kudai ULIPIE BANGO Lako la kujitangaza, wanakuchaji kwa square meter.
Yapo mengi sana wafanyabiashara tunadhulumiwa na selikali kuna wakati natamani katiba iseme wazi kabisa! KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MFANYABIASHARA Mwenye biashara ya jina lake iliyofanya kazi angalau miaka 10 na kuendelea! Labda itasaidia kutuelewa tunavyoumia wafanyabiashara.

Manispaa wanapata pesa za bure sana na sielewi kwanini LESENI ZAO zisiwe bure au wapunguze anagalau bei ya juu kabisa kwa duka,yard au kampuni isizidi lakimoja!

Na ikiwrzekana makao makuu ya ofisini ilipo ndipo inatakiwa kulipiwa leseni na huko kwenye matawi ipelekwe nakala au walipie kwa nusu bei!

View attachment 2330892
Kwa point hizi zatosha kuwa ni Sera za chama cha siasa.

Unasuburi mini kuamzisha iwapo umeshaona suluhisho kwa kundi hili LA wafanya biashara.
 
Kwa point hizi zatosha kuwa ni Sera za chama cha siasa.

Unasuburi mini kuamzisha iwapo umeshaona suluhisho kwa kundi hili LA wafanya biashara.
Nafikilia siku nitaingia kwenye siasa naona kabisa watu hawatendewi haki
 
Huwa namshangaa sana kiongozi anayewashauri watu wajiajiri!

Kujiajiri Tanzania inabidi kwanza ujitoe ufahamu kabla ya kupata faida!
Ebu fikilia haya malipo ya serikali yalivyo hayana uhalisia!
  • Unatafta wazo la biashara,mtaji na fursa lakini TRA hawanaga grace period kwa wafanyabiashara wadogo kama ilivyo kwa uwekezaji mkubwa
  • TRA hawana muda wa kufikilia TIN zenye msamaha wa kodi kwa wafanya biashara wanaoanza!
  • Malipo ya pango la biashara lazima mfanyabiashara ukalipie 10% ...wakati aliyetakiwa kutoa hiyo ni mwenye nyumba ulipo panga wewe! Lakini kwasababu mfanyabiashara unashida wanakubana wewe!
  • Halmashauri na manispaa pasipo kukupa msaada wowote, ukifuata leseni wanakutoza pesa kuanzia elf 80 hadi laki tano kulingana na biashara yako! Tena kibaya zaidi unawafuata ofisini kwao ukapange foleni hata juisi ya kufuta jasho la nauli kwa kuwapelekea pesa ofisini hawakupi, sasa ebu jiuloze pesa zote hizo manispaa wanachukua kwa mchango UPI waliompa mfanyabiashara kama siyo dhulma?
  • Malipo ya leseni yanaumiza sana kwasababu kwanza hawajishughulishi hata kukupa elimu ya biashara, hawakutaftii wateja hawakupi ofa yoyote zaidi ya kukukamua tena wakiwa ofisini kwao.
  • Ukifanikiwa kufungua matawi ya biashara yako, ajabu kila manispaa utaombwa kulipia mfano! Kama leseni ni tsh 350000 ukiweka tawi kila wilaya utatakiwa kuilipa pesa hiyo kila wilaya utazani ni nchi tofauti wakati uko Tanzania moja
  • Yote tisa kote pesa wamechukua pasipo hata grace period, ukitaka kuweka bango la kujitangaza biashara yako watakuja Kudai ULIPIE BANGO Lako la kujitangaza, wanakuchaji kwa square meter.
Yapo mengi sana wafanyabiashara tunadhulumiwa na selikali kuna wakati natamani katiba iseme wazi kabisa! KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MFANYABIASHARA Mwenye biashara ya jina lake iliyofanya kazi angalau miaka 10 na kuendelea! Labda itasaidia kutuelewa tunavyoumia wafanyabiashara.

Manispaa wanapata pesa za bure sana na sielewi kwanini LESENI ZAO zisiwe bure au wapunguze anagalau bei ya juu kabisa kwa duka,yard au kampuni isizidi lakimoja!

Na ikiwrzekana makao makuu ya ofisini ilipo ndipo inatakiwa kulipiwa leseni na huko kwenye matawi ipelekwe nakala au walipie kwa nusu bei!

View attachment 2330892
Soma hii ripoti kwanza 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220823-170206.png
    Screenshot_20220823-170206.png
    61 KB · Views: 8
Hivi kila line ya simu wakiitoza 1000 kwa mwezi si itakuwa vizuri sana ili waondoe kodi sumbufu.
Zipo nchi kumiliki line sio kitu cha mchezo mchezo, wafunge macho waanzishe hili.
Almost 40ml.ppls wanamiliki line × 1000/- 40, 000, 000,000/-p/m, gains, na waondoe kodi sumbufu za majumba ya wastaafu.
Yani hio inatakiwa ije kama kodi inayojitegemea😂
 
Hivi kila line ya simu wakiitoza 1000 kwa mwezi si itakuwa vizuri sana ili waondoe kodi sumbufu.
Line inalipiwa pia na mtoa huduma kila akisajili line kuna pesa analipa ndio maana wanazi-recycle mtu akifa..., kuongezea cost kwa wateja wao huenda ikaback-fire kwa line zinazofanya kazi kupungua kwa watu kuzitelekeza line zao, imagine mtu hajaweka vocha miezi mitano akija kuweka jero inasoma -4500/=
Zipo nchi kumiliki line sio kitu cha mchezo mchezo, wafunge macho waanzishe hili.
Hizo nchi maisha yao yapo vipi ? Kuna nchi watu wanakatakana mapanga je na sisi tuchomane visu ? By the way unajua kila ukinunua talk time kuna VAT n.k. ambayo huenda mtandao wako unai-absorb ?
Almost 40ml.ppls wanamiliki line × 1000/- 40, 000, 000,000/-p/m, gains, na waondoe kodi sumbufu za majumba ya wastaafu.
Waastafu hawalipi kodi ya majengo kama sio ya biashara au wanakaa wenyewe
 
Line inalipiwa pia na mtoa huduma kila akisajili line kuna pesa analipa ndio maana wanazi-recycle mtu akifa..., kuongezea cost kwa wateja wao huenda ikaback-fire kwa line zinazofanya kazi kupungua kwa watu kuzitelekeza line zao, imagine mtu hajaweka vocha miezi mitano akija kuweka jero inasoma -4500/=

Hizo nchi maisha yao yapo vipi ? Kuna nchi watu wanakatakana mapanga je na sisi tuchomane visu ? By the way unajua kila ukinunua talk time kuna VAT n.k. ambayo huenda mtandao wako unai-absorb ?

Waastafu hawalipi kodi ya majengo kama sio ya biashara au wanakaa wenyewe
 
Je mtoa huduma halipi Kodi nyingine as well as cost za biashara ?, Je Wakala Hakatwi kila Mwezi Kodi ya Mapato kwenye kila faida yake ?

These People are Insulting our Intelligence....
Kabisa
 
Biashara TZ ina siri zake kutegemeana na aina ya biashara. Sasa ww mtu mpya kimbilia maleseni ya taasisi zote za serikali badala ya kufanya biashara uone kama huo mtaji utabaki. Utailisha nchi ila familia yako itakufa njaa.

Tumia akili kama huna Tafuta mtu anayefanya biashara kama unayotaka kufanya umuazime akili zake za kukwepa mishale.

KUNA MSEMO"UKIONA TAASISI ZA SERIKALI ZINAKUANDAMA BASI USHAKUWA MKUBWA, KAA NAO NA UTII SHERIA BILA SHURUTI".
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Back
Top Bottom