Ukipokea simu unaweza kupoteza maisha(kufariki)

Jamani hivi hii ni technologia gani ambayo inafanya mtu akipokea simu anapooza. Nimepata sms kwamba nisipokee simu ya number yoyote iliyoandikwa "Private" ukipokea inaweza kukufanya upooze na tukio hilo limewapata wengi.
 
Jamani hivi hii ni technologia gani ambayo inafanya mtu akipokea simu anapooza. Nimepata sms kwamba nisipokee simu ya number yoyote iliyoandikwa "Private" ukipokea inaweza kukufanya upooze na tukio hilo limewapata wengi.

mmmmh! :confused2::confused2:
 
kwa upande wa maandishi mekundu du hapo pana kazi na sijui mechanism na nguvu iliyoko kwenye huo ujumbe...

Na hizi simu zetu kubwa (mshindi) ambazo sidhani kama maandishi yake yanaweza kubadilika hata rangi. Am puzzled
 
Jamani hivi hii ni technologia gani ambayo inafanya mtu akipokea simu anapooza. Nimepata sms kwamba nisipokee simu ya number yoyote iliyoandikwa "Private" ukipokea inaweza kukufanya upooze na tukio hilo limewapata wengi.

Hata mimi nimepata nyingi nyingi!!! Embu wataalamu watujuze!
 
ni maneno ya mitaani tu kule Kenya Mamlaka ya mawasiliano imekanusha uvumi huu.
 
Jamani, sasa kama anayepokea anakufa, tumejuaje hiyo rangi?? au inabaki na wengine wanaona kwamba ni private in red??? all i know ni kwamba ukipokea simu the word "private" disappear

huh!!
 
Nimepokea sms kutoka kwa rafiki yangu akiniambia kwamba nisipokee simu kutoka private number na iwapo hiyo private ipo red ndo kabisaa.
Kaniambia kuwa huko KENYA amekufa mtu kwani hiyo ni silaha ya mionzi.
s it TETESI au kunani ktk hili au ndo ile kama mkono wa manyoya selander bridge?
 
1.Wahusika wenye mitandao... Voda, Zeni, Tigo..etc hii ni kazi yenu tunahitaji ufafanuzi na kuwa mmechukua hatua gani?

2. wanausalama vipi mna lolote la kusema ...kama ni kweli mko tayari kuona wanachi wanumia hihi hivi...?

3. Ni kweli huu ujumbe umesambazwa sana.... kama si kweli what could be the motive of the message?

JIBU NIMELIPATA:

Analysis: (Updated) Don't panic, it's a hoax. Variants of the so-called "red number" or "death call" hoax first appeared on April 13, 2007 (Friday the 13th) in Pakistan, where they caused widespread panic and inspired a slew of ancillary rumors, including the claim that the phone calls, if listened to, could also trigger impotence in men and pregnancy in women. According to news reports, Pakistanis were heard trading secondhand stories of actual deaths that had supposedly occurred, with some claiming the fatalities were the handiwork of ancestral spirits enraged by the construction of a cell phone tower over a graveyard.

In an effort to quell the hysteria, government officials and mobile phone providers issued statements disproving the rumors, but, just as they began to subside in Pakistan, similar messages commenced spreading throughout Asia, the Middle East, and finally Africa. MTN Areeba, the largest cellular network in Ghana, released a statement echoing the assurances previously made by other providers: "A full scale national and international priority investigation has been conducted in the last 48 hours," a spokesperson said. "The investigation has confirmed that these rumours are completely unsubstantiated and have no technological evidence to support them."

According to engineers, cell phones are incapable of emitting sound frequencies that could cause immediate physical injury or death.

Death Calls - Killer Phone Number Warnings - Urban Legends
 
Nimepata SMS mbili zenye the same message,huu ndo uwanja wa Bilal mtaalamu wa miozi ningekuwa na PM yake ningemforwadia
 
'Red Number' Killer Phone Call Rumor Sparks Panic in Kenya

Wednesday September 1, 2010
sms_t.jpg
Via Newstime Africa: "Kenyan officials have moved to quell growing hysteria sparked by rumour that a ghostly red number was appearing on mobile phones and killing people. The rumours swept like wildfire among the residents in the capital, Nairobi and other major towns on Tuesday night, with many forwarding the stories to their friends, families and colleagues via text messages, warning them not to receive calls which will appear in a red colour."
The hoax is actually several years old, a simpler version of it having first appeared in Nigeria in July 2004. A variant warning specifically of phone calls from "red numbers" first surfaced in Pakistan in 2007, subsequently migrating throughout the Middle East, Asia, and finally back to the African continent
 
Earlier (2004) variant suggests rumor may have originated in Africa
In July 2004 a much simpler version of this rumor caused a minor outbreak of panic in Nigeria. An example of the forwarded text message published on South Africa's Independent Online news website read as follows:
Beware! You'll die if you take a call from any of these phone numbers: 0802 311 1999 or 0802 222 5999.​
"This is an absolute hoax and should be treated as such," said a representative of Nigeria's largest cellular provider at the time, VMobile, in a statement to the press.
Nokia version of the hoax immediately followed

A bogus "confidential letter" apparently inspired by the Nigerian rumor began circulating around the same time, purporting to have been written by a Nokia executive who claimed that "use of our mobile phones can cause spontaneous death to the user in certain circumstances." "The problem manifests itself when the phone is dialled from certain numbers," continued the letter, replete with misspellings and poor English grammar. "The mobile base sends out massive quantities of electromagnetic energy, whic resonates from the mobile phone's antenna. As the user answers his phone, the energy surges into his body, resulting in both coronary heart failure and brain haemorraging, generally followed by severe external bleeding and rapid death."
 
Jamani, sasa kama anayepokea anakufa, tumejuaje hiyo rangi?? au inabaki na wengine wanaona kwamba ni private in red??? all i know ni kwamba ukipokea simu the word "private" disappear

huh!!

Nimepokea hiyo red call na nimekufa!
Mi ni shuhuda wa madhara ya hiyo private call! Mimi tu kuwaletea habari. :rip:
 
Hii imeshatokea Kenya juzi na kukanushwa. Na kabla ya hapo Misri na wapi sijui na nadhani Pakistan.
Urban myths safi sana. Kumbuka usikalie viti vya daladala maana wameweka sindano zenye ukimwi pia.
Na wale mumiani waliokuwa wanakula wanafunzi huko Temeke n.k.
balaa
 
Mdau kabla ya kupost kwenye teknolijia hii habari ulitakiwa ujiulizea kiteknolojia kama hili linawezekana.

  • Vipi screen ya simu ikiwa ni black and white?
  • Signal/wavesza simu hazina rangi. na wala mpigaji hajui na hana uwezo wa kusema simu atayopiga itokee red. mpokeaji anaweza kuset rangi anayotaka kulingana na uweze wa screen yake
  • Kinachoweza kusababisha madhara ni simu na sio mpigaji. Na kama simu ina matatizo(e.g May be inatumia frequncy za Microwave au X ray) sio mpaka akupigie mchawi ndo ufe
Hi habari nadhani ilitakiwa kuja siku ya watu wanaoshindana na akili
 
Ukipigiwa simu kwa nambari binafsi (private no.) au ikiandika call kwa red usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.Imetokea kenya watu wamekufa.
Julisha ndugu & jamaa wote.

Msaada tafadhali wanajamiii

Mh. endelea na kazi zako, SMS hiyo ni ya kutungwa kufuatia SMS nyingine iliyozunguka sana nchini India tarehe 10 kuendelea mwezi august 2010. ujumbe wa india ulitaja kabisa namba ambazo ulishauriwa kutozipokea. Kwa ujumla suala zima ni uzushi kisayansi hakuna uhusiano wowote kati ya namba au no number (private number) na utendaji kazi wa mfumo wa simu au matumizi ya masafa katika simu. pole sana
 
jamani tusibishe saaana,ila wenye utalaam na ujuvi wa cell phone technologies watufaamishe.

mimi najua kuwa soud waves ktk certain frequencies zinaweza kukufanya uzimie,utapike etc,na imekuwa prooved na jeshi la marekani ktk silaha za kivita,ila inapingwa isitumike.
 
"ukipigiwa simu kwa private no. au ikaandika call kwa rangi nyekundu usipokee; ni mionzi unaparalize na kufa papo hapo. imetokea kenya watu wamekufa. julisha ndugu na jamaa."





wakuuu ujumbe huu nimeupata leo hii asubuhi kutoka kwa ndugu yangu nikaona bora niwashirikishe.



my take:

yeyote aliyepata kusikia chochote kuhusu suala hili atutaarifu kwani mdharau mwiba...
 
Back
Top Bottom