Ukipewa nafasi ya kuwa Kiongozi kwa siku moja ni kitu gani utabadilisha cha kwanza?

nitaifanya nchi iwe na uongozi wa kifalme.nitakuwa na wake wengi ambao watakuwa ni wakuu wa mikoa na wilaya zote nchini.nitakuwa na msafara mkubwa sana wenye magari yasiyopungua mia moja na magari ya kijeshi aina iveco kumi yaliyojaza wanajeshi mia mbili wenye siraha za moto..tamteua mwanangu awe mkuu wa majeshi.
 
Notapitisha mara moja katiba ya Warioba kuwa katiba rasmi ya nchi.

Nitafuta vyama vyote vya siasa ili waombe usajili upya kwa majina mengine.

Wala rushwa na mafisadi watakiona cha mtema kuni,familia zao zitalia na kusaga meno.
 
Ikitokea umepewa fursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, unapata nafasi ya kufanya mabadiliko katika sehemu uliyopo na kubalisha kitu kimoja kwenye sehemu uliyopewa uongoze.

Ikitokea ninafursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, ningependa kuwa kiongozi wa taasisi ya elimu, kama chuo kikuu. Elimu ni msingi wa maendeleo ya kitaifa na binafsi. Kipaumbele changu cha kwanza kingekuwa kuangalia upya mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa unaendana na mahitaji ya sasa ya jamii na soko la ajira.

Ningependa kuwekeza zaidi katika teknolojia na rasilimali za kufundishia ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora na inayokidhi viwango vya kimataifa. Kwa kufanya hivyo, ningewawezesha wanafunzi kufikia uwezo wao kamili na kujenga msingi imara kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.

Unatamani uwe kiongozi wa nini na wapi na ni kitu gani ungekipa kipaumbele cha kukifanya cha kwanza na kwa sababu gani?
Nitabadilisha PESA
 
Ikitokea umepewa fursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, unapata nafasi ya kufanya mabadiliko katika sehemu uliyopo na kubalisha kitu kimoja kwenye sehemu uliyopewa uongoze.

Ikitokea ninafursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, ningependa kuwa kiongozi wa taasisi ya elimu, kama chuo kikuu. Elimu ni msingi wa maendeleo ya kitaifa na binafsi. Kipaumbele changu cha kwanza kingekuwa kuangalia upya mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa unaendana na mahitaji ya sasa ya jamii na soko la ajira.

Ningependa kuwekeza zaidi katika teknolojia na rasilimali za kufundishia ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora na inayokidhi viwango vya kimataifa. Kwa kufanya hivyo, ningewawezesha wanafunzi kufikia uwezo wao kamili na kujenga msingi imara kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.

Unatamani uwe kiongozi wa nini na wapi na ni kitu gani ungekipa kipaumbele cha kukifanya cha kwanza na kwa sababu gani?
Kuvunja mahusiano na Dubai, kufuata mikataba ya OBC, kufuta mkataba wa DP world, kufuta kazi Mwigulu Chemba, na Makamba na Tulia.

Kuvunja bunge
 
1.Futa makodi mshenzi yote.weka mfumo wa kodi unaoeleweka.Ruhusu biashara zifanyike kwa mfumo maalumu kuanzia machinga-biashara kubwa.
2.Ikithibitika umeiba pesa ya wananchi unanyongwa,anayekabidhiwa mradi ukikwama ukishindikana na pesa haieleweki imeenda wapi/pesa imepigwa jela ndani /faini analipa yeye binafsi/ndugu zake wote wanaofahamika kuwa waajiriwa wanakatwa mishahara mpaka deni lifidiwe la kodi ya wananchi.
3.Mashirika yote ambayo hayaeleweki na hayaleti faida na hakuna mfumo unaoeleweka wa kuyasimamia yanafanyiwa ubinafishaji kwa watu wa ndani hapa hapa unless iwe special sana inahitaji watu maalumu kutoka nje.Ukikabidhiwa shirika likiwa halina shida ukiona kuna short ya milioni moja jiandae kuachia ngazi anza kukusanya virago🤣,maana either uachie kwa hiari au uachishwe na ulipishwe wewe na ukoo wako mpaka hela zirudi zote.
4.Masomo ya sayansi kupewa kipaumbele zaidi..
5.Huduma za afya...mapato ya kuendesha yanapatikana kukiwa na mpango mkakati sahihi kuwezesha wananchi wote kupata huduma stahiki bila bugudha.
6.Rasilimali za nchi ziwe chini ya uangalizi maalumu,madini,wanyama,mbuga na uendeshaji wake uwe strict kuhakikisha usalama wa yote yanayofanyika.
7.Mikataba hovesi yote. walioshiriki kuipitisha kama kuna hasara wao wanahusika moja kwa moja kulipa kutoka kwenye mishahara yao na ndugu zao pia na stahiki zao za mafao kukatwa kulipia hasara waliyosababisha endapo watastaafu hawajamaliza deni.Kuweka watu wenye tamaa binafsi wanaoingia mikataba mshenzi na kuliponza taifa watalipa madeni yote mpaka vitukuu vyao🤣..
Natamani sana walipishwe ndugu wote wa wahusika ili iwe fundisho kwa wezi wote wasio na uchungu wa maisha ambayo mwananchi wa kawaida anayapitia.
8.Uhuru wa imani uko palepale...Mwislamu,mkristo,asiyesali wote wa Mungu kila mtu aheshimu imani ya mwenzake.
9.Usalama wa taifa ,mipaka,majeshi yote vigezo vianze kupanda bilq bachala digrii hakuna kuingia kule.Naona itasaidia kuliko kuwa na kikundi cha watu wanapelekwa tu na hawana chochote cha kusema wanaona kama wamefanyiwa favour kuingia humo...Wakati huo huo kuboresha maisha na mishahara ya watumishi wote kwa ujumla.

NB: Nchi ina kila kitu,tulipaswa tuwe mbali sana ila uongozi mbovu na viongozi wenye tamaa ndio wanafanya maisha yanakua magumu.
 
Nita react vigorously kwenye swala la usafi wa mazingira. Aisee nitakuwa mbogo hadi mtasema huyu mzee anavuta bangi. Majiji yetu ni machafu mno na kuna vitengo vya usafi na watu wanalipwa mishahara

1. Sikupi leseni ya biashara hadi nikupe kipande cha barabara mbele ya ofisi yako au duka lako upande maua, miti, usafishe mitaro papebdeze mno!

2. Makampuni makubwa sijui voda sijui tigo au crdb nawapa barabara nzima kwa mfano Nyerere Road au Mandela Road inakuwa ya kwako na ole wako nikute haipendezi. Ukitaka msaada wa serekali unapewa ila jukumu la usimamizi ni lako. Panda nyasi tena Canadian sio za hovyo hovyo na maua mazuri ya grade A.

3. Kuanzia chekechea ni lazima kuweka somo la house keeping. Watoto wakue huku wanaelewa kuchezea mazingira ni kujitafutia kwenda jela! Na haki mtu akizembea namfunga kweli.

4. Usafi ni pamoja na ku deal na boda boda. Hizi mburula zimegeuka ni jeshi la kipekee wanalojiamulia cha kufanya. Haki ingefika mahali wangebadilika maana cha moto wangekiona. Nisingewatoa barabarani ila ningetengeneza mkakati wangenyooka tu. Kwamba boda yeye taa nyekundu za barabarani hazimuhusu na anapita taa nyekundu traffic officer yuko hapo hapo anaongoza magari! Wangejua hawajui
Safi
 
1. Nitahakikisha askari magereza wote wanaishi kwenye kota zenye hadhi yaani namaanisha zenye hadhi na garden kali, hili nitalifanya ndani ya miezi minne tu. Haiwezekani watu wanasimamia nguvu kazi ya wafungwa halafu wao wanaishi mazingira ya kinyonge.
2. Nitapandisha hadhi ya Elinu hasa Elimu ya ufundi na kilimo hii ni pamoja na kuweka posho ya katikati ya mwezi kwa waalimu.
3.Nitahakikisha jamii yetu inakuwa na nidhamu na kudumisha usalama, haoa namaanisha sitataka kuwa na nchi yenye vibaka wa kuku au wizi wowote ule. Taweka sheria jali kiasi kwamba ukiona hata mtu kadindisha pesa unaomota ubampelekea.
4. Sitavumilia watendaji wazembe hasa wanaichelewesha miradi yaani hao watapata tabu sana.
5. Sitaruhusu democrasia inikwamishe kwenye mambo ya msingi.
6. Nitasimamia maadili ya taifa sitacheka na usela ndimu.
 
Ume
Nita react vigorously kwenye swala la usafi wa mazingira. Aisee nitakuwa mbogo hadi mtasema huyu mzee anavuta bangi. Majiji yetu ni machafu mno na kuna vitengo vya usafi na watu wanalipwa mishahara

1. Sikupi leseni ya biashara hadi nikupe kipande cha barabara mbele ya ofisi yako au duka lako upande maua, miti, usafishe mitaro papebdeze mno!

2. Makampuni makubwa sijui voda sijui tigo au crdb nawapa barabara nzima kwa mfano Nyerere Road au Mandela Road inakuwa ya kwako na ole wako nikute haipendezi. Ukitaka msaada wa serekali unapewa ila jukumu la usimamizi ni lako. Panda nyasi tena Canadian sio za hovyo hovyo na maua mazuri ya grade A.

3. Kuanzia chekechea ni lazima kuweka somo la house keeping. Watoto wakue huku wanaelewa kuchezea mazingira ni kujitafutia kwenda jela! Na haki mtu akizembea namfunga kweli.

4. Usafi ni pamoja na ku deal na boda boda. Hizi mburula zimegeuka ni jeshi la kipekee wanalojiamulia cha kufanya. Haki ingefika mahali wangebadilika maana cha moto wangekiona. Nisingewatoa barabarani ila ningetengeneza mkakati wangenyooka tu. Kwamba boda yeye taa nyekundu za barabarani hazimuhusu na anapita taa nyekundu traffic officer yuko hapo hapo anaongoza magari! Wangejua hawajui
Umenigusa kunako mkuu
 
Ikitokea umepewa fursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, unapata nafasi ya kufanya mabadiliko katika sehemu uliyopo na kubalisha kitu kimoja kwenye sehemu uliyopewa uongoze.

Ikitokea ninafursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, ningependa kuwa kiongozi wa taasisi ya elimu, kama chuo kikuu. Elimu ni msingi wa maendeleo ya kitaifa na binafsi. Kipaumbele changu cha kwanza kingekuwa kuangalia upya mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa unaendana na mahitaji ya sasa ya jamii na soko la ajira.

Ningependa kuwekeza zaidi katika teknolojia na rasilimali za kufundishia ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora na inayokidhi viwango vya kimataifa. Kwa kufanya hivyo, ningewawezesha wanafunzi kufikia uwezo wao kamili na kujenga msingi imara kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.

Unatamani uwe kiongozi wa nini na wapi na ni kitu gani ungekipa kipaumbele cha kukifanya cha kwanza na kwa sababu gani?
Kuifuta Chadema na kufunga jela wahuni wote kwenye hilo genge
 
Siku moja ni ngumu sana kufanya mabadiliko, labda kuanzia mwezi unaweza kufanya kitu kinachoonekana; zaidi ya hivyo itakuwa ni kuteua na kutengua ambayo ni kazi nyepesi unaweza kufanya muda wowote unaotaka.​
 
Ikitokea umepewa fursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, unapata nafasi ya kufanya mabadiliko katika sehemu uliyopo na kubalisha kitu kimoja kwenye sehemu uliyopewa uongoze.

Ikitokea ninafursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, ningependa kuwa kiongozi wa taasisi ya elimu, kama chuo kikuu. Elimu ni msingi wa maendeleo ya kitaifa na binafsi. Kipaumbele changu cha kwanza kingekuwa kuangalia upya mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa unaendana na mahitaji ya sasa ya jamii na soko la ajira.

Ningependa kuwekeza zaidi katika teknolojia na rasilimali za kufundishia ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora na inayokidhi viwango vya kimataifa. Kwa kufanya hivyo, ningewawezesha wanafunzi kufikia uwezo wao kamili na kujenga msingi imara kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.

Unatamani uwe kiongozi wa nini na wapi na ni kitu gani ungekipa kipaumbele cha kukifanya cha kwanza na kwa sababu gani?
Kukamata na kunyonga viongozi wote waliopita na hawa walio madarakani hivi sasa kuliibia taifa
 
Ikitokea umepewa fursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, unapata nafasi ya kufanya mabadiliko katika sehemu uliyopo na kubalisha kitu kimoja kwenye sehemu uliyopewa uongoze.

Ikitokea ninafursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, ningependa kuwa kiongozi wa taasisi ya elimu, kama chuo kikuu. Elimu ni msingi wa maendeleo ya kitaifa na binafsi. Kipaumbele changu cha kwanza kingekuwa kuangalia upya mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa unaendana na mahitaji ya sasa ya jamii na soko la ajira.

Ningependa kuwekeza zaidi katika teknolojia na rasilimali za kufundishia ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora na inayokidhi viwango vya kimataifa. Kwa kufanya hivyo, ningewawezesha wanafunzi kufikia uwezo wao kamili na kujenga msingi imara kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.

Unatamani uwe kiongozi wa nini na wapi na ni kitu gani ungekipa kipaumbele cha kukifanya cha kwanza na kwa sababu gani?
Harakati za kuwa 'convert' fisiem zitaanza mara moja kutoka kundi la unyang'anyi na kuwa waadilifu hata kama nitafanikiwa kwa wachache.
 
Ikitokea umepewa fursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, unapata nafasi ya kufanya mabadiliko katika sehemu uliyopo na kubalisha kitu kimoja kwenye sehemu uliyopewa uongoze.

Ikitokea ninafursa ya kuwa kiongozi kwa siku moja, ningependa kuwa kiongozi wa taasisi ya elimu, kama chuo kikuu. Elimu ni msingi wa maendeleo ya kitaifa na binafsi. Kipaumbele changu cha kwanza kingekuwa kuangalia upya mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa unaendana na mahitaji ya sasa ya jamii na soko la ajira.

Ningependa kuwekeza zaidi katika teknolojia na rasilimali za kufundishia ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora na inayokidhi viwango vya kimataifa. Kwa kufanya hivyo, ningewawezesha wanafunzi kufikia uwezo wao kamili na kujenga msingi imara kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.

Unatamani uwe kiongozi wa nini na wapi na ni kitu gani ungekipa kipaumbele cha kukifanya cha kwanza na kwa sababu gani?
Kunyonga viongozi wote wezi waliopo madarakani hivi sasa na wale waliostaafu. Nitawataifisha mali zote walizoiba kisha kuwanyonga. Lazima tuwashikishe adabu hawa viongozi ili iwe fundisho kwa watu wengine.
 
Back
Top Bottom