Kijukuu
Member
- Feb 2, 2014
- 39
- 12
Habari zenu ndugu, kwa wale wenye uzoefu pamoja na elimu ya SHERIA, naomba kuuliza
=>Unapopeleka kesi polisi kabla ya kwenda mahakamani, kuna ulazima wa polisi kuonana na mashahidi au mashahidi wanatakiwa waonekane mahakamani tu. Maana nimekuwa na wasiwasi kidogo.
=>Unapopeleka kesi polisi kabla ya kwenda mahakamani, kuna ulazima wa polisi kuonana na mashahidi au mashahidi wanatakiwa waonekane mahakamani tu. Maana nimekuwa na wasiwasi kidogo.