Ukioa mke asiyetaka kwenda kwenu

Hivi wanaosema wanaume kulia lia tuu au viazi mnaelewa utamu wa mama? Mimi siwezi mpeleka au kumlazimisha aende kwa mkwe wake yaani my mama. Ataweza mtesa bure. Italumaje uzae mtoto akuletee mwali anakutesa? Badala afurahie maisha ya mwali na wajukuu aanza kulala njaa. Huyu mwanamke kama hajui kule ni kwake basi ngoja aishi mjini.
 
Kama unashida ktk ndoa yako na we we ni mwanaume. Mkeo atakua kati ya hawa:-
1. Selfish. Mbinafsi
2. Hana rafiki wa karibu
3. Amelelewa na mama tu.
4. Ananuna mda mrefu kwa jambo Dogo
5. Last born
6. Hukumbuki lini alikuletea zawadi.
7. Hana mawasiliano mazuri na ndugu
8. Anapenda kutoa kauli kama muamuzi wa familia
9. Mwepesi wa kukata tamaa
Nawatakia kila la kheri kutunza ndoa zenu
 
Helo wandugu. Ninaomba ushauri.
Nimeoa na mke wangu ni wa Pwani. Tumepata mtoto ila huyu mwanamke hataki nimpeleke mwanangu kwetu.
Niko Mkoa mwingine kikazi. Huko kwetu nimejenga na nina nyumba yangu. Mama anahitaji walau akae na mjukuu wake siku 3.
Mke hataki. Wala hawazi nikifa Leo nitapelekwa kwangu.
Infact hana mawasiliano mazuri hata kumjulia mama yangu hali.
Hii imenifanya nikate mawasiliano na kwao. Kwani alikua ikipita wiki anadai mama yake analalamika simsalimii.
Mama yangu Mimi kwake ni mtoto pekee. Alitumai kupata mwali atakae mpenda. Sasa analalamika tu.
Kuna haja ya kua na mke wa kikijini na mjini?

Huyo mama yako alilea mtoto wake - yaani wewe. Sasa na mke wako mwache alee wa kwake.

Yaani wewe umeoa bado unalialia kwa mama tu, utakua lini? Haina maana kwamba usimpe support lakini kukufanyia maamuzi na kuingilia uhuru wako ni mmmmmmmh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom