Ukimya wa Waziri wa Nishati katika Mgogoro wa Mchanga wa Dhahabu unatia Mashaka

Kwa sasa our government is a one man show. Ministers are there symbolically just to fulfil the constitution...... nothing else!
 
Kwanza wengi mnaonekana kutojua tatizo la ule mchanga ni nini?Bavicha wengi mna matatizo ya uelewa.Majibu yoyote yatakuwa ni ushindi kwa serikali.
 
Hii ishu iko kisiasa zaidi, unajua hii ishu si mara kwanza kuibuka. Nakumbuka hata Kwenye AED 2016 raisi aliibua tena na alatuambia maengineer tumuulize prof kwa nini anaruhusu mchanga wa madini unasafirishwa nje, alipokuja kutoa mada tulimuuliza, akasema hatuna umeme wa kuyeyusha ule mchango. Akasema mtambo huo ni ghali sana. Pia hii ni mikataba ya kimataifa, tulipaswa kwanza kureview mikataba then ndo tuvunje
 
Mmlizoea kila mtu aongee, rais akishaongea unataka waziri aongee naye ili iweje?

Enyi watanzania na chokochoko zenu
 
Hao wot
Ubarikiwe kpm kwa elimu tosha. Isipokuwa mwishoni umetuacha tuamue wenyewe. Swali langu mkuu ni hili hao wataalamu uliowataja yaani Mining Engineers na Processing Engineers hatuna hata mmoja ili waungane na Geologist Prof. Muhongo kutupa taarifa na ukweli kuhusu huo mchanga kwenye makontena?
Hizo fani zote tatu hufanya kazi pamoja (kwani kila hatua inategemeana na nyingine). Na hata watu waliopo ktk wizara ya Prof Muhongo (upande wa madini) ni wa fani hizo zote, na ndo maana nasema Prof Muhongo anaweza kuwa anajua kinachoendelea (na pengine alishamshauri mkuu lkn hawakuelewana na ndo maana mkuu akataka timu ya wataalam ili kupata suluhisho tofauti). Hata timu aliyounda mkuu (ya watu hao wanane) amechanganya fani hizo zote tatu.
 
Maprof n madokta wanapewa kazi za uwaziri lkn wanageuka kuwa Mabasite. Ni bora wangebaki vyuoni wa fundishe vijana wetu labda watapatikana wakina Lisu wengi. Waziri wa sheria mpya kwenye Rasimu ya katiba alikuwa n msimamo thabiti leo ni Waziri hatafungua mdomo wake kushauri kuwa n katiba aliyokuwa anaitetea. Aliyemteua ameshaweka wazi hana agenda ya katiba mpya. Sasa ni bora angebaki kufundisha
Umenena 100%
 
Huyo Muhongo mnafiki naamini amemfukuzisha kazi KM wake yule Prof na sasa mambo hayajakaa vizuri kwake inaonekana JPM haamin vyombo TMA na vinginevyo vinavyokagua I michanga migodin huko !! Inabidi akae kimya ! Kusubiri report ya watalaam labda itamrudihia imani kw mfalm juha
 
Tokea kuanza kwa sakata la makontena ya mchanga wa Dhahabu sijasikia tamko lolote kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini Proff. Muhongo. Akiwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia wizara hiyo ilikuwa ni muhimu Watanzania kupata maoni yake. Wakati wa ziara ya Rais Magufuli na baadaye Spika wa Bunge Ndugai sikumuona Waziri Muhongo akiambatana nao katika ziara ya ukaguzi wa makontena hayo ya mchanga wa Dhahabu. Proff. Muhongo ni mwanagiologia mkubwa na maoni yake katika sakata hii na mchango wake ni muhimu.
Je Proff. anajua kinachoendelea na ameamua kuwa kimya ? Kwasasa naona kuna mwingiliano wa kikazi mkubwa hapa nchini kufuatia kauli ya Meneja TPA kuongea mbele ya Rais na Spika kuwa anajua zile kontena zina Dhahabu toka lini Meneja wa TPA akawa Geologist ?

Tokea sakata la Mwakyembe kutoa agizo la kutooa bila vyeti vya kuzaliwa, likatenguliwa...Ndugu Nape kusimamia sakata la Naibu Rais wa Dar na kesho yake kufutwa uwaziri ni wazi kwamba Wizara zote kwa sasa ziko chini ya Ofisi Ya Rais na mwenye mamlaka ya kuamua juu ya Serikali ni yeye mwenyewe na kwamba yeyote atakayekaidi agizo hilo atakuwa kaenda kinyume na matakwa ya Waziri ambaye pia ni Rais!
 
Let us give Professor Muhongo the benefit of doubt! Kwenye Wizara ya Nishati na Madini , Waziri ni Geologist, Naibu Waziri homeboy wa JPM ni mwanasheria aliyepata PhD katika fani ya mikataba ya Madini , Naibu Katibu Mkuu kwa upande wa Madini ni Professor Mdoe ambaye ni Geologist the list goes on sasa sakata la kuziiwa Mchanga liliibuliwa na udaku wa Kakoko wa TPA na JPM hakuwa na trust na watu aliowaweka including Katibu Mkuu alyetumbuliwa kwa kuwa na another school of thought akiwa kama Professor na ikaonekana anapingana na Malaika. Sasa kama wewe ni Muhongo ungefanyaje? Kimsingi Katibu Mkuu ndiye CEO wa Wizara whereas Waziri is just a political post at the pleasure of the President kukaa kimya its proper ila Katibu Mkuu ni Permanent Secretary and it's never Politics! Lazima asimamie Sera ambayo imezaa Sheria vinginevyo it's a mixed cup Tumpongeze Professor Justin Ntalikwa kwa kusimamia ukweli of course that is the Cost!
 
Sioni tatizo lenu ni nini hasa nyie Watanzania.Tulikuwa na hisia kwa muda mrefu sana kwamba mchanga unaosafirishwa kwenda nje una madini mengi na huko unapopelekwa hatuwezi kudhibiti kujua kiwango kinachopatikana humo

Magu hajapinga mikataba iliyowapa rukhusa kusafirisha mchanga kwenda nje ili kuweza ku-extract madini ambayo mitambo iliyopo hapa haiwezi.Alichofanya ni kuchunguza km hakuna madini hususani dhahabu ambayo yenyewe inaweza kuwa extracted kwa mitambo iliyopo hapa na mikataba inaelekeza hivyo.

Majawabu yoyote yatakuwa na tija kwa taifa. Km hakutakuwa na chochote, bhasi kelele zilizokuwa zikipigwa kuhusu michanga hiyo zikome.Km kutakutikana madini ambayo yalistahili yatolewe hapa, bhasi itatupasa kudai fidia au remedy yoyote itakayoonekana kufaa.
 
Inaelekea mleta uzi hasomi magazeti. Hiyo Amri ya Serikali kusitisha kusafirisha copper concentrates ilitolewa na nani kama is Prof. Muhongo? Ikiisha kutoa amri na amri husika ikatekelewa kama ilivyokusudiwa unategemea aseme nini tena wakati Kamati ya Wataalam imekwishaundwa, kupewa majukumu (ToRs) na imeanza kazi?
 
Hao wot

Hizo fani zote tatu hufanya kazi pamoja (kwani kila hatua inategemeana na nyingine). Na hata watu waliopo ktk wizara ya Prof Muhongo (upande wa madini) ni wa fani hizo zote, na ndo maana nasema Prof Muhongo anaweza kuwa anajua kinachoendelea (na pengine alishamshauri mkuu lkn hawakuelewana na ndo maana mkuu akataka timu ya wataalam ili kupata suluhisho tofauti). Hata timu aliyounda mkuu (ya watu hao wanane) amechanganya fani hizo zote tatu.
Thanks for the info.
 
Mhongo ni mtalaamu wa geology si mtalaamu wa mineral processing. Akisema atasema asichokijua!
Mbona mwenyekiti wa kamati Prof Mruma ni Geologist.Mjumbe Prof.Ikingula ni Geologist.Mhe.Waziri anao Mineral processing Engineers,TMAA,STAMICO,GST wana uwezo wa kumuandalia cha Kuongea.Kama wengi walivyocomment Mhe.Waziri na Naibu wake Mhe.Kalemani,Naibu katibu mkuu wa Madini Prof.Mdoe wameamua kukaa kimya baada ya Katibu wa Wizara Prof.Ntalikwa(Mineral processing Engineer) kutoa ushauri wa kitaalam na kutumbuliwa."Unataka kukimbia na hauna break?What do you expect?...bongo ya Thabo Mbeki.....!!"
 
Back
Top Bottom