Ukimya wa Waziri wa Nishati katika Mgogoro wa Mchanga wa Dhahabu unatia Mashaka

Kwa sasa ni bora akajikalia kimya tu, maana Katibu wake mkuu alipofungua mdomo tu siku ile bandarini wakati Spika na kamati ya bunge ilipokwenda kukagua, jioni yake Rais alimtumbua.
Tena katika hili suala kuna taarifa zinasema Profesa Muhongo "Katengwa" maana yeye pia ni sehemu ya tatizo, inadaiwa anatetea upande ule wa ...

Sote tunajua Rais katika hili suala alichemka vibaya, lakini hakuna mtu katika serikali yake ana huo ubavu wa kumwambia Ukweli. Rais ameshindwa kumwamini hata Waziri mkuu wake katika hili...

Hili suala linaweza kumwondoa hata Majaliwa ikitokea tu ataonyesha msimamo wake, au atashindwa kulizima vizuri kwenye bunge la Bajeti.
 
Hata leo ile kamati ya uchunguzi inaapishwa pale ikulu Dsm sijamwona. Mbona yuko mbali na sakata hili?
 
Maprof n madokta wanapewa kazi za uwaziri lkn wanageuka kuwa Mabasite. Ni bora wangebaki vyuoni wa fundishe vijana wetu labda watapatikana wakina Lisu wengi. Waziri wa sheria mpya kwenye Rasimu ya katiba alikuwa n msimamo thabiti leo ni Waziri hatafungua mdomo wake kushauri kuwa n katiba aliyokuwa anaitetea. Aliyemteua ameshaweka wazi hana agenda ya katiba mpya. Sasa ni bora angebaki kufundisha
 
Its obvious he has no say in this matter!
Nionavyo mimi Prof. Muhongo atakuja kuumbuka na kutumbuliwa ikibidi kwa kulinyamazia suala hili. Kwa sababu baada ya taarifa ya kamati kuthibitisha kuwa hatuibiwi, itakuwa aibu kwa JPM na hasara kwa nchi. Kwa kuwa alikaa kimya akamuacha JPM akaingia gharama zote hizo itabidi apishe. Hafai kabisa. Yaani huko nje tunachekesha, Waziri Mjiolojia lakini hatoi ushauri kwa Mhe Rais. Mimi sipendi Rais wangu aaibike kwa vitu kama hivi kwa sababu ya mzembe mmoja aliyeamua kukaa kimya eti kulinda cheo chake. Aibu
 
Nionavyo mimi Prof. Muhongo atakuja kuumbuka na kutumbuliwa ikibidi kwa kulinyamazia suala hili. Kwa sababu baada ya taarifa ya kamati kuthibitisha kuwa hatuibiwi, itakuwa aibu kwa JPM na hasara kwa nchi. Kwa kuwa alikaa kimya akamuacha JPM akaingia gharama zote hizo itabidi apishe. Hafai kabisa. Yaani huko nje tunachekesha, Waziri Mjiolojia lakini hatoi ushauri kwa Mhe Rais. Mimi sipendi Rais wangu aaibike kwa vitu kama hivi kwa sababu ya mzembe mmoja aliyeamua kukaa kimya eti kulinda cheo chake. Aibu
Kwamba huwa akimshauri Rais anaitisha press conference kuutangazia umma au?

Mbona mnahukumu pasipo ushahidi. Au Rais ndiye kawaambia Waziri wake hajamshauri.

Veru amazing.
 
Prof. Anajua kinachoondelea anahofia kudhalilisha Taaluma yake

Nimeshawahi kumsikia Magufuli mara kadhaa akisema hao wawekezaji wajenge furnance ya kuBOIL hayo madini ili waweze kuseparate....

Magufuli ni Mtaalam wa Chemistry hivi unaweza kuboil Udongo????

Hapo kinachotakiwa ni kumelt ili ili yenye melting point ndogo ianze kutoka kama Uji .....



Sasa huyu Mzee Magufuli na phd yake ya Chemistry anazungumzia maswala ya kuBoil udongo.
 
Proff. Muhongo kwa taaluma ni geologist na geologist ni mtaalamu wa madini toka inapochimbwa mpaka inapokuwa kwenye process ya production.
Kwa mantiki hiyo alipo geologist, mineral processing engineer hahitajiki? Kwamba geologist anamaliza kila kitu!
 
Tokea kuanza kwa sakata la makontena ya mchanga wa Dhahabu sijasikia tamko lolote kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini Proff. Muhongo. Akiwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia wizara hiyo ilikuwa ni muhimu Watanzania kupata maoni yake. Wakati wa ziara ya Rais Magufuli na baadaye Spika wa Bunge Ndugai sikumuona Waziri Muhongo akiambatana nao katika ziara ya ukaguzi wa makontena hayo ya mchanga wa Dhahabu. Proff. Muhongo ni mwanagiologia mkubwa na maoni yake katika sakata hii na mchango wake ni muhimu.
Je Proff. anajua kinachoendelea na ameamua kuwa kimya ? Kwasasa naona kuna mwingiliano wa kikazi mkubwa hapa nchini kufuatia kauli ya Meneja TPA kuongea mbele ya Rais na Spika kuwa anajua zile kontena zina Dhahabu toka lini Meneja wa TPA akawa Geologist ?
Jiolojia haipo kama yeye ni tumbo street
 
Prof. Anajua kinachoondelea anahofia kudhalilisha Taaluma yake

Nimeshawahi kumsikia Magufuli mara kadhaa akisema hao wawekezaji wajenge furnance ya kuBOIL hayo madini ili waweze kuseparate....

Magufuli ni Mtaalam wa Chemistry hivi unaweza kuboil Udongo????

Hapo kinachotakiwa ni kumelt ili ili yenye melting point ndogo ianze kutoka kama Uji .....



Sasa huyu Mzee Magufuli na phd yake ya Chemistry anazungumzia maswala ya kuBoil udongo.

Mkuu nimecheka sana lakini huu ushujaa utawaponza
 
Sioni ajabu kwa prof kukaa kimya sababu anaijua vizuri mihemko ya baba mwenye nyumba. Ukileta fyoko dakika sifuri unafungashiwa virago. Japo siyo reputation nzuri kwa watu wa aina yake.
 
Sioni ajabu kwa prof kukaa kimya kwani anajua mihemko ya baba mwenye nyumba. Fanya fyoko ufungashiwe virago dakika sifuri. Japo sio reputation nzuri kwa watu wa aina yake.
 
Tokea kuanza kwa sakata la makontena ya mchanga wa Dhahabu sijasikia tamko lolote kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini Proff. Muhongo. Akiwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia wizara hiyo ilikuwa ni muhimu Watanzania kupata maoni yake. Wakati wa ziara ya Rais Magufuli na baadaye Spika wa Bunge Ndugai sikumuona Waziri Muhongo akiambatana nao katika ziara ya ukaguzi wa makontena hayo ya mchanga wa Dhahabu. Proff. Muhongo ni mwanagiologia mkubwa na maoni yake katika sakata hii na mchango wake ni muhimu.
Je Proff. anajua kinachoendelea na ameamua kuwa kimya ? Kwasasa naona kuna mwingiliano wa kikazi mkubwa hapa nchini kufuatia kauli ya Meneja TPA kuongea mbele ya Rais na Spika kuwa anajua zile kontena zina Dhahabu toka lini Meneja wa TPA akawa Geologist ?
Waziri anachapa kazi. Sasa aongee nini na rais alitoa AGIZO? Yeye ni utekelezaji.
 
Sasa Waziri aonngee nini wakati mshauri mkuu wa Magu ni Daudi Albert Bashite? Au hujasikia kuwa huwa wanajigungia ofisini wawili tu kuanzia saa 12 jioni hadi saa 8 usiku? Astaghafirullah
 
Tokea kuanza kwa sakata la makontena ya mchanga wa Dhahabu sijasikia tamko lolote kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini Proff. Muhongo. Akiwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia wizara hiyo ilikuwa ni muhimu Watanzania kupata maoni yake. Wakati wa ziara ya Rais Magufuli na baadaye Spika wa Bunge Ndugai sikumuona Waziri Muhongo akiambatana nao katika ziara ya ukaguzi wa makontena hayo ya mchanga wa Dhahabu. Proff. Muhongo ni mwanagiologia mkubwa na maoni yake katika sakata hii na mchango wake ni muhimu.
Je Proff. anajua kinachoendelea na ameamua kuwa kimya ? Kwasasa naona kuna mwingiliano wa kikazi mkubwa hapa nchini kufuatia kauli ya Meneja TPA kuongea mbele ya Rais na Spika kuwa anajua zile kontena zina Dhahabu toka lini Meneja wa TPA akawa Geologist ?
Unaijua cv yake au unaanduka nwe uonekane wangemchukua wazir ndo tatizo japo kwa upande wake ni ntaalamu ila pale yupo kisasa na wataalamu ndo kama hao
 
Proff. Muhongo kwa taaluma ni geologist na geologist ni mtaalamu wa madini toka inapochimbwa mpaka inapokuwa kwenye process ya production.
Geologist ni mtaalamu wa miamba (haendi mpaka ktk uzalishaji), hivyo akishajua taarifa zote za miamba na madini yaliyomo anamkabidhi Mining engineer (mhandisi migodi) hizo data ili aweze kuangalia namna ya kuyachimba. Huyo naye akishayachimba inabaki ni kazi ya Mineral Processing engineer (extractive metallurgist) kuangalia njia ya inayofaa ya kuya-process na kupata final product kutokana na chemistry ya mwamba husika. Huyo ndo anahusika na mambo ya uzalishaji wa madini ikiwemo hiyo concentrate (mchanga wa madini). Kiufupi, Prof Muhongo anaweza kuwa anajua kinachoendelea kwa kuwa ni mtaalamu ktk fani ya madini kwa ujumla (ingawa siyo kiundani ktk hilo eneo) na kwa kuwa pia ni waziri mhusika ambaye report zote na nini kinafanyika anahusika.
 
Tokea kuanza kwa sakata la makontena ya mchanga wa Dhahabu sijasikia tamko lolote kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini Proff. Muhongo. Akiwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia wizara hiyo ilikuwa ni muhimu Watanzania kupata maoni yake. Wakati wa ziara ya Rais Magufuli na baadaye Spika wa Bunge Ndugai sikumuona Waziri Muhongo akiambatana nao katika ziara ya ukaguzi wa makontena hayo ya mchanga wa Dhahabu. Proff. Muhongo ni mwanagiologia mkubwa na maoni yake katika sakata hii na mchango wake ni muhimu.
Je Proff. anajua kinachoendelea na ameamua kuwa kimya ? Kwasasa naona kuna mwingiliano wa kikazi mkubwa hapa nchini kufuatia kauli ya Meneja TPA kuongea mbele ya Rais na Spika kuwa anajua zile kontena zina Dhahabu toka lini Meneja wa TPA akawa Geologist ?

Asante kwa kulileta hili hapa, hili swali nimejiuliza sana bila majibu.
Muhongo alipewa dhamana ya kuongoza wizara ile kutokana na weledi wake wenye kiwango cha juu cha elimu, nakumbuka hata wapinzani walipotilia shaka uteuzi wake kwamba alikuwa na kasha mkuu alishika bango kuwa ni mwenye weledi wa hali ya juu.

Japo ni mtaalamu wa miamba Rais hata utaalamu huo hana, sasa kwa yeye kuchampion suala lile si sawa in my opinion, asipomwachia Muhongo sasa watamdanganya. Muhongo kwa nafasi yake ilibidi yeye ndiye awe msemaji mkuu wa hili na kumshauri Rais nini cha kufanya.

Labda sasa hivi utawala ni top bottom approach, akiongea Rais unakaa kimya hadi akwambie chukua issue kashughulikie.
But what I'm seeing, this is truly a one man show, which is dangerous especially in a band.
 
Back
Top Bottom