huyu alitumwa na wenzake. kwani hamkuona na kusikia mkaa hapa akipoteza mwelekeo na kuanza kuichambua familia ya mwalimu? kama kuna mwenye hekima miongoni mwa hao mafisadi atamkemea huyu mbunge. amefedhehesha vijana wa ccm. aombe radhi taifa hadharani na sio kwenye vikao vyao vya ndani.