Ukimwi unatumaliza jamani.

kuna masimulizi yanayotoa elimu kwa umma tutayafurahia, lakini masimulizi yenye sura ya unyanyapaa tuyakatae kwa nguvu zote! Kuna watu humu ni waathirika, wanaishi na watoto yatima, ndugu waathirika, unadhani watajisikiaje? unajua mtu ukimpenda hata kufanya jambo baya nafsi itamsuta. Hata mwizi akiona unapenda kukuibia atajiuliza mara nyingi,labda iwe njaa tu!
Hakuna element ya unyanyapa let us wait ni nini atasema kuhusu huo ushuhuda then we will note something!
 
Ukimwi Upo,nashangaa we ndio umestukia leo,tulizana wewe!! Usimuamini mtu hata akiwa mnene kama mcheza sumo.
 
Hakuna element ya unyanyapa let us wait ni nini atasema kuhusu huo ushuhuda then we will note something!

ungekuwa wewe unaambiwa expire date imekaribia ungefurahi? Unajua kwamba wengi wa waliambukizwa hiv hawakupenda hasa wake za watu? Na watoto waliozaliwa waathirika je? Join in a fight against discrimination na maambukizi yatapungua.
 
ungekuwa wewe unaambiwa expire date imekaribia ungefurahi? Unajua kwamba wengi wa waliambukizwa hiv hawakupenda hasa wake za watu? Na watoto waliozaliwa waathirika je? Join in a fight against discrimination na maambukizi yatapungua.

sikiliza nikwambie statement ilitolewa vyema once unapoichambuchambua we get another meaning as I said before 2tulie tuone nahushuhuda then tungepata good analysis.
 
@Snowhite...huo wimbo hata siujui ni wimbo upi...nimeutafuta kwenye makabrasha ya utube nimetoka kapa....Mie nahusudu pia za bendi zetu kama sikinde, msondo n.k. ila bongo flava imenipitia kushoto.

SAWA BABA! BAK kuna wimbo wa sikinde sijui una hii title vipi unao?au we ni za kidhungu tu!
 
unajua dada angu hili suala ni gumu sana. Unakumbuka enzi za tufe wengi? Ile ilitokana na pointing fingers walizokuwa wanapewa waathirika. Nina dada yangu aliambukizwa na mumewe makusudi kwani alimsema wifi yake aliyeathirika. Kitendo hicho kilimuudhi mume akaamua kwenda kuutafuta kwa nguvu zote na kuuleta nyumbani. Huwa nashtuka sana ninapoona watu wanawazungumzia vibaya waathirika kwani ni suala linaloongeza waathirika wengine. Kuna jamaa mwingine alisikia afisa mmoja anatumia arv akamsema vibaya kwa watu na yule afisa akasikia. Alichofanya alimuwinda mke wa yule jamaa mpaka akampata tena ukichukulia jamaa alikuwa tra!, na sasa hivi wote ni waathirika wanatumia arv. Hawa watu wanahitaji kupendwa na jamii ili wajue kwamba wana umuhimu wa kuwalinda wengine. Hizi kauli za living dead sizipendi kabisa!

Hapa umeongea vizuri kabisa unyanyapaa huu ni ujinga UKIMWI sio issue vile nenda hosipital ya cancer pale Ocean road uangalie watu wanavyokufa wanajiona ambao hawana jinsi ya kuweza angalau kupunguza makali yake mbona hawasemwi vibaya kama wenye UKIMWI au kwa vile cancer haiambukizi??? Ujinga mtupu kumsema mtu mwenye UKIMWI..............Cheers sana Nyalotsi................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom