Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Naona hali ya utawala wa JK inazidi kuwa mbaya, mambo haendi, mfumuko wa bei uko juu, viongozi wanalipuka, askari wanaua, wanafunzi wanafeli masomo, mishahara inachelewa. wafanyakazi hawajitumi, rushwa inazidi kuota mizizi, viongozi ni waongo,
Ikitokea ukapata nafasi ya kuonana na JK katika hali hii utamshauri nini.
Ikitokea ukapata nafasi ya kuonana na JK katika hali hii utamshauri nini.