Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Mwandani wako kaifumania soksi kwenye mfuko wako wa suruali au kwenye kibeti chako. Hivi utajieleleza vipi?.......au utajitetea vipi? Nyie mambo yenu ni pekupeku maana mnaaminiana sana tu sasa hii soksi kulikoni ni ya kazi ipi tena? Au unachemsha zako huko za pembeni.....