2jifunze kutofautisha kati ya uchangamfu na upendo! Huyo dada amekuchangamkia na wala hajakupenda wewe umejiongeza tu!
Watu kwa kujipepelea kifasihi tongozi hamjambo.
OTIS
ndio ajichekeshe hadi amwambie fazaa atamuoa yeye! Mmh! Uchangamfu nao una mipaka yake. Ikizidi inaleta hofu.
Mmh! Kama ni kweli huyo dokta kicheche.
Jamani kumpenda mtu ni kosa??
Kwani kambaka?
dokta mchangamfu kweli yule.....hhaha..
uchangamfu wa hivyo unaweza kupoteza wateja.
yawezekana huyo dada alikuwa anataka kuhakikisha siku nyingine fazaa anaenda pale kutibiwa.....
siku nyingine inabidi fazaa aende na mazaa.
halafu hivi umeshamsoma huyu fazaa? anaonekana anapenda sana kukaa viti vya mbele..mtu akimtabasamia tu yeye tayari anajua mtu kamzimia....hawa manesi na madaktari hawa wana lugha zao za kufariji..pengine alimuona fazaa anahangaika na mtoto hospitali ikabidi amsaidie..na ndio maanaalikuwa haishi kumsifia mtoto...huyu fazaa huyu yeye moyo tayari akawa amenyoosha goti
Hayo ni masihara 2 mkuu, mi ninavyofahamu iwapo mwanamke amevutiwa/kumpenda mwanaume hawezi kumshobokea ki-hivo ataishia kuwasimulia wenzie sifa zako 2.
Hiyo ni sehemu ya huduma kwa wateja(customer care).
Jamani kumpenda mtu ni kosa??
Kwani kambaka?
uchangamfu wa hivyo unaweza kupoteza wateja.
yawezekana huyo dada alikuwa anataka kuhakikisha siku nyingine fazaa anaenda pale kutibiwa.....
siku nyingine inabidi fazaa aende na mazaa.