fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Leo asubuhi nilienda mpeleka mtoto wangu hospital alikuwa na ki homa homa, na dr mmoja wakike kila wakati ananichekea afu anamsifu mtoto wangu wa kume anasema huyu ni handsome kama baba yake.
Cha kushangaza time natoka kwake akawa ananisindikiza mpaa pale kwenye pharmacy anajidai kumsemesha mtoto wangu, lakini pale pale ananisemesha mara sijui nimefanana na mjomba wake, mara sijui namkumbusha sijui cousin yake yuko marekani, ni vutuko vingi tu nyie wacheni.
Afu akawa ana niuliza na watoto wangapi, nikamtajia akasema anatamani watoto hasa kama huyo mtoto wangu.
Nikamuliza umeolewa? akasema bado nikasema ooo very soon utaolewa mungu akipenda, akafurahi sana na huku akisema isije kuwa wewe tu ndo unakuja nioa, afu akacheka.
Nikachukua dawa zangu, afu na yeye akaniaga akasema it was nice to see you, afu akaendelea kusema; I just hope we will meet some other time...nikasema sure.
Sasa cha ksuhangaza mpaa mdaa huu najiuliza hivi itakuwaje mtu mkutana naye siku moja tu avutiwe na wewe namna hio, je nyie wanawake ndo zenu hizo mnapenda kwa kasi au ndo alikuwa anachemsha tu huyo babe.
Sasa swali nalo jiuliza, hivi wanagapi wanaume wanaweza kusema wameisha pendwa hapo? na wanagapi wanawake wanaweza kusema yule dr wakike kisha nipenda, na wangapi wanaweza kusema kama mimi; Ukienda bila kutumia akili, unaweza kusema umependwa.
Cha kushangaza time natoka kwake akawa ananisindikiza mpaa pale kwenye pharmacy anajidai kumsemesha mtoto wangu, lakini pale pale ananisemesha mara sijui nimefanana na mjomba wake, mara sijui namkumbusha sijui cousin yake yuko marekani, ni vutuko vingi tu nyie wacheni.
Afu akawa ana niuliza na watoto wangapi, nikamtajia akasema anatamani watoto hasa kama huyo mtoto wangu.
Nikamuliza umeolewa? akasema bado nikasema ooo very soon utaolewa mungu akipenda, akafurahi sana na huku akisema isije kuwa wewe tu ndo unakuja nioa, afu akacheka.
Nikachukua dawa zangu, afu na yeye akaniaga akasema it was nice to see you, afu akaendelea kusema; I just hope we will meet some other time...nikasema sure.
Sasa cha ksuhangaza mpaa mdaa huu najiuliza hivi itakuwaje mtu mkutana naye siku moja tu avutiwe na wewe namna hio, je nyie wanawake ndo zenu hizo mnapenda kwa kasi au ndo alikuwa anachemsha tu huyo babe.
Sasa swali nalo jiuliza, hivi wanagapi wanaume wanaweza kusema wameisha pendwa hapo? na wanagapi wanawake wanaweza kusema yule dr wakike kisha nipenda, na wangapi wanaweza kusema kama mimi; Ukienda bila kutumia akili, unaweza kusema umependwa.