kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,994
- 17,895
Tunaoishi Goba, Kimara hadi mbezi hadi Ubungo na maeneo mengine ni mashahidi wa hili
Hii wilaya ya Ubungo tatizo la umeme limekua ni sugu kupindukia matatizo ambayo hayakuwepo miez mingi iliyopita
Migao ya kijinga jinga tu daily haya matatizo sijui yataisha lini
Mtu umejitahidi umefunga AC hata huenjoy kwa umeme huu wa Tanesco
Hii wilaya ya Ubungo tatizo la umeme limekua ni sugu kupindukia matatizo ambayo hayakuwepo miez mingi iliyopita
Migao ya kijinga jinga tu daily haya matatizo sijui yataisha lini
Mtu umejitahidi umefunga AC hata huenjoy kwa umeme huu wa Tanesco