Agueromkuu
Member
- Nov 2, 2014
- 51
- 15
Lakini tunajua Ruge ana mshiko wa kampeni za chama kubwa...
Chuki waliyo nayo clouds Tv juu ya nyama vya Ukawa ni kubwa mno na imepitiliza.
Yani Lowassa kafanya mkutano mkubwa hapo Iringa lakini jamaa wanajifanya hawajuwi wao ni ACT na Ccm tu
Pamoja na Lowassa kuahidi hatolipiza kisasi kwa mtu akikalia kiti cha ikulu."Binafsi namshauri"
Ukawa ikichukuwa dola Hii Television ya Clouds waifutilie mbali hawana hata aibu.
Chuki waliyo nayo clouds Tv juu ya nyama vya Ukawa ni kubwa mno na imepitiliza.
Yani Lowassa kafanya mkutano mkubwa hapo Iringa lakini jamaa wanajifanya hawajuwi wao ni ACT na Ccm tu
Pamoja na Lowassa kuahidi hatolipiza kisasi kwa mtu akikalia kiti cha ikulu."Binafsi namshauri"
Ukawa ikichukuwa dola Hii Television ya Clouds waifutilie mbali hawana hata aibu.
Waingie IKULU?,kwa mlango GANI?
Chuki waliyo nayo clouds Tv juu ya nyama vya Ukawa ni kubwa mno na imepitiliza.
Yani Lowassa kafanya mkutano mkubwa hapo Iringa lakini jamaa wanajifanya hawajuwi wao ni ACT na Ccm tu
Pamoja na Lowassa kuahidi hatolipiza kisasi kwa mtu akikalia kiti cha ikulu."Binafsi namshauri"
Ukawa ikichukuwa dola Hii Television ya Clouds waifutilie mbali hawana hata aibu.
Utasubiria sana Lowassa aingie Ikulu. Hatutaki rais ZEZETA. Rais wetu ni JOHN POMBE MAGUFULI. #HapaKaziTuChuki waliyo nayo clouds Tv juu ya nyama vya Ukawa ni kubwa mno na imepitiliza.
Yani Lowassa kafanya mkutano mkubwa hapo Iringa lakini jamaa wanajifanya hawajuwi wao ni ACT na Ccm tu
Pamoja na Lowassa kuahidi hatolipiza kisasi kwa mtu akikalia kiti cha ikulu."Binafsi namshauri"
Ukawa ikichukuwa dola Hii Television ya Clouds waifutilie mbali hawana hata aibu.
Utasubiria sana Lowassa aingie Ikulu. Hatutaki rais ZEZETA. Rais wetu ni JOHN POMBE MAGUFULI. #HapaKaziTu
Zezeta ni babako na mamako....ndo mazezeta
Clouds ni private institution na hawalazimiki kumtangaza Fisadi. Jifunze siasa kwa kutumia nchi za dunia ya kwanza ndio utaelewa kuwa Media kazi yake ni nini?Chuki waliyo nayo clouds Tv juu ya nyama vya Ukawa ni kubwa mno na imepitiliza.
Yani Lowassa kafanya mkutano mkubwa hapo Iringa lakini jamaa wanajifanya hawajuwi wao ni ACT na Ccm tu
Pamoja na Lowassa kuahidi hatolipiza kisasi kwa mtu akikalia kiti cha ikulu."Binafsi namshauri"
Ukawa ikichukuwa dola Hii Television ya Clouds waifutilie mbali hawana hata aibu.
Of oz clouds km media inapaswa kuwa fair pande zote,lkn km inapendelea kuonyesha matangazo ya lumumba hata ss wadau wa kuangalia clouds tutaizalau kabixa na kutowatch vipindi vyao
Chuki waliyo nayo clouds Tv juu ya nyama vya Ukawa ni kubwa mno na imepitiliza.
Yani Lowassa kafanya mkutano mkubwa hapo Iringa lakini jamaa wanajifanya hawajuwi wao ni ACT na Ccm tu
Pamoja na Lowassa kuahidi hatolipiza kisasi kwa mtu akikalia kiti cha ikulu."Binafsi namshauri"
Ukawa ikichukuwa dola Hii Television ya Clouds waifutilie mbali hawana hata aibu.