Waende Bungeni, waache uzurulaji. Ni wanafiki na wapotoshaji. Wanadhani kukimbilia kwa UAMSHO kutasaidia nini? wapigwe mabomu watokomezwe. NO MORE MONEY TO POLITICIANS! Hatuwezi kukaa chini kufikiria kutengeneza genge la kula kodi za wananchi eti serikali 3! wakati bajeti yenu ni tegemezi na matatizo chungu nzima. FOOLISH UKAWA! nasema NO MORE MONEY TO POLITICIANS! Let all Tanzanian unite and say No to stupid politicians! tunazo kero chungu mzima za kijamii zinazohitaji pesa hizi zinazotafunwa na hivi vyama njaa