Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,959
- 95,282
Mkuu unatisha sana kwa kutema nondo,salute sanaNajua umekurupuka ungetulia usingeanzisha hiii, ili ufikie Richmond hapo njuma kuna makorokocho mangapi? siku ya kuguswa Lowasa ndo mwisho wa Amani ya nchii, lowasa anayajua mengi kushinda hata maguruli mwenyewe kumbuka yeye ni mastermind wa mambo mengi sana nchii siku akaumua kuongea itakuwa shidha hakuna hatakayebaki salama, si mwinyi, mkapa, jk, hata magufuri mwenyewe trust me