Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Amekuwa akishirikiana na waendesha mashitaka wa TANAPA kubambikizia kesi watu wasiokuwa na hatia kisha kuomba rushwa kubwa.
Watu wanabambikiziwa kesi kuwa ni wahujumu uchumi kwa kufanya uvuvi haramu kisiwa cha Rubondo na kisha kuombwa rushwa. Malalamiko yapo ofisi za PCCB wilaya ya Chato lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.
Anashirikiana na wavuvi wakubwa na kuwapa upendeleo hata kama wakivua na kukamatwa ndani ya hifadhi ya Rubondo. Wavuvi hawa ni ndugu na wanajulikana.
Wakazi wa Muganza wanabambikiwa kesi huku huyu hakimu akiwakandamiza kwa rushwa kubwa. Mpaka sasa kuna wakazi wa Muganza kama 30 wanakesi za uhujumu uchumi ambazo ni za kubambikiwa.
Takukuru wilaya ya Chato hawajachukua hatua yoyote. Hivyo Mkurugenzi unaombwa utusaidie maana kuna uonevu mkubwa.
Watu wanabambikiziwa kesi kuwa ni wahujumu uchumi kwa kufanya uvuvi haramu kisiwa cha Rubondo na kisha kuombwa rushwa. Malalamiko yapo ofisi za PCCB wilaya ya Chato lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.
Anashirikiana na wavuvi wakubwa na kuwapa upendeleo hata kama wakivua na kukamatwa ndani ya hifadhi ya Rubondo. Wavuvi hawa ni ndugu na wanajulikana.
Wakazi wa Muganza wanabambikiwa kesi huku huyu hakimu akiwakandamiza kwa rushwa kubwa. Mpaka sasa kuna wakazi wa Muganza kama 30 wanakesi za uhujumu uchumi ambazo ni za kubambikiwa.
Takukuru wilaya ya Chato hawajachukua hatua yoyote. Hivyo Mkurugenzi unaombwa utusaidie maana kuna uonevu mkubwa.