Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,195
- 11,626
Pamoja na kupiga kelele kwa muda mrefu kuruhusiwa mikutano ya kisiasa nchini, hatimae pumzi ya fedha imekata upinzani, hakuna hamu tena kufanya mikutano ya kisiasa. Pesa hakuna kabisaa.
Hata mikutano ambayo wameshafanya tayari tena kwa kusuasua, bado haikua na mvuto, muitikio na mahudhurio ni duni mno kuliko ilivyotarajiwa.
Subra yahitajika, lakini viashiria vyote vinaonyesha mpaka kufikia oct.2025, kutakua na uchovu na ukata zaidi wa fedha kwa upinzani. Vyama vingi vya kisiasa vikubwa kwa vidogo, vinauelekeo wa kuunga mkono mgombea wa Chama Tawala.
Hata mikutano ambayo wameshafanya tayari tena kwa kusuasua, bado haikua na mvuto, muitikio na mahudhurio ni duni mno kuliko ilivyotarajiwa.
Subra yahitajika, lakini viashiria vyote vinaonyesha mpaka kufikia oct.2025, kutakua na uchovu na ukata zaidi wa fedha kwa upinzani. Vyama vingi vya kisiasa vikubwa kwa vidogo, vinauelekeo wa kuunga mkono mgombea wa Chama Tawala.