Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,683
- 46,371
Tuacha kutumia lugha za ajabu ajabu za watu wenye akili ndogo kuwaleza viongozi au watawala wetu.
Mfano hizi lugha subjective ambazo ni za hisia zaidi za kiongozi fulani ni mkali, mpole, mchapakazi ni lugha za hovyo zisizokuwa na mashiko yoyote na pia za upotoshaji mkubwa sana.
Katika uongozi wa nchi hakutakiwi kuwa na lugha za upole ukali, uchapakazi n.k kunatakiwa lugha objective zinazopimika za viongozi kufuata katiba na sheria za nchi, uwajibikaji, kwajibishwa, kuwajibisha, maono makubwa ya uongozi n.k
Lugha za mpole na mkali ni lugha za kifamilia zaidi, za mke, mume, watoto, ndugu, jamaa na marafiki. Sio lugha za kuwaelezea viongozi.
Mfano hizi lugha subjective ambazo ni za hisia zaidi za kiongozi fulani ni mkali, mpole, mchapakazi ni lugha za hovyo zisizokuwa na mashiko yoyote na pia za upotoshaji mkubwa sana.
Katika uongozi wa nchi hakutakiwi kuwa na lugha za upole ukali, uchapakazi n.k kunatakiwa lugha objective zinazopimika za viongozi kufuata katiba na sheria za nchi, uwajibikaji, kwajibishwa, kuwajibisha, maono makubwa ya uongozi n.k
Lugha za mpole na mkali ni lugha za kifamilia zaidi, za mke, mume, watoto, ndugu, jamaa na marafiki. Sio lugha za kuwaelezea viongozi.