MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,849
Mwenyezi Mungu akakataa katakata Lissu asife akaamua kuliua lenyewe sheitwani baradhuli eti linajiita Jiwe au Kichaa! Liendelee kuungua milele na milele huko Jehanamu!Nadhani wazanzibari Wana moyo tofauti na wabara. Huku bara tulikiwa na rais mwenye moyo wa kishetani kwelikweli.
Yaani alimpiga risasi Lisu halafu akakataza:-
1. Watu kumchangia damu.
2. Watu kumchangia fedha.
3. Watu kuvaa Tshirts za kumtakia uponaji wa haraka.
4. Wanaccm kwenda kumuona hospitali.
5. Akamtumia Ndugai amnyime hela za matibabu.
6. Akamtumia Ndugai amfute ubunge Lisu.
Magufuli was wa Satan in human face.
Afe tena huko aliko.