Huelewi ni sasa kuwa mwanaCCM ndo kukubaliana na kila kitu ambacho CCM wanafanya regardless ni kizur au kibaya?!.. nini maana ya democrasia...??! Hii ndo shida yetu watanzania wengi kushabikia hadi mambo ya kijinga kisa tu kimesema au kufanya chama chako cha kisiasa .
Haswaa, labda nibaki Tanzania na kuwa jambazi au jangili baada ya kukosa ajira maana nikienda nje nitaonekana sio mzalendo na kwa kuwa uraia pacha hauruhusiwi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.