Ujumbe ungine huuKuna uhusiano wa alichofanya Samia na huu ujumbe wa masoud?
View attachment 2068534
Kwani hujaona Ile ya Tanga fresh, he vipi Ile ya mama mwenye nyumba kwenda kufunzwa udereva, kuogelea n.k.Hivi Kipanya amespecialize kwenye katuni za kisiasa tu, tena zenye maudhui ya ulalamishi tu?
Siku akija na katuni yenye maudhui positive kuhusu Tanzania mnitag.
Unaposema positive itakuwa unamaanisha za kusifia? Kama ni hizo hiyo si kazi yake, inatakiwa ifanywe na serikali yenyewe kwani serikali ina vitengo vingi vya PRHivi Kipanya amespecialize kwenye katuni za kisiasa tu, tena zenye maudhui ya ulalamishi tu?
Siku akija na katuni yenye maudhui positive kuhusu Tanzania mnitag.