[mp3]http://www.jambovideos.com/bongos/dec09/Mr_Presedent.mp3[/mp3]
Nawatakia kila la heri kuelekea 2010
Mkuu Mwafrika, kuna kazi KUBWA inaendelea chini kwa chini... Kubwa kuliko hiyo ya mapambo! So naamini wakuu mnaweza kutuvumilia, ndo maana hata vitu vingine mnakuta tunachemsha kidogo, lakini tunaamini tutavumiliana kidogo tu. All stuffs will be fixed by this January.Asante invisible ... mbona mwaka huu hakuna mapambo ya sikukuu?
Happy New Year Wana JF na Watanzania Wote!!
Nitanunua album tatu zenye huo wimbo, kama cd zenye single zinapatikana nitanunua cd 5. Hakiyanani tena jamaa waliotunga huo wimbo lazima watakuwa member wa JF!!
Daaaym that'z jus da shiznit !!!!!!
Happy New Year Wana JF na Watanzania Wote!!
Nitanunua album tatu zenye huo wimbo, kama cd zenye single zinapatikana nitanunua cd 5. Hakiyanani tena jamaa waliotunga huo wimbo lazima watakuwa member wa JF!!
Daaaym that'z jus da shiznit !!!!!!
Nawapa fiveCollabo ya Nguli, Radical na Burn wa hapahapa jamvini!