Ujumbe kuukaribisha mwaka 2010

Wimbo mzuri kwa harakati za mabadiliko. Naweza kuupataje kwenye CD?

Kuna nyimbo nyingi sana nzuri za ukombozi lakini hazipati hasaa wa kusikika redioni.

Kuna Msanii toka Chunya wanamuita Nabii- ana wimbo wake wenye maneno 'ni marafiki wanapohitaji kura, kuiba na kujiuzulu ndio yao staili' unasadifu sana maneno ya wimbo huu. Kuna mtu anao huu pia kwenye CD?


Halafu kuna nyimbo za vyama vya upinzani nazo hazipati kabisa fursa ya kusikika redio; mathalani CHADEMA kuna msanii anaitwa Mwana-Cotide naye kuna nyimbo zake kadhaa.

Kuna haja ya nyimbo kama hizo kuwepo kwenye radio na televisheni za mtandaoni na kusambazwa pia kwa wingi vijijini kwa njia mbalimbali.


JJ
 
Wimbo mzuri kwa harakati za mabadiliko. Naweza kuupataje kwenye CD?

Kuna nyimbo nyingi sana nzuri za ukombozi lakini hazipati hasaa wa kusikika redioni.

Kuna Msanii toka Chunya wanamuita Nabii- ana wimbo wake wenye maneno 'ni marafiki wanapohitaji kura, kuiba na kujiuzulu ndio yao staili' unasadifu sana maneno ya wimbo huu. Kuna mtu anao huu pia kwenye CD?


Halafu kuna nyimbo za vyama vya upinzani nazo hazipati kabisa fursa ya kusikika redio; mathalani CHADEMA kuna msanii anaitwa Mwana-Cotide naye kuna nyimbo zake kadhaa.

Kuna haja ya nyimbo kama hizo kuwepo kwenye radio na televisheni za mtandaoni na kusambazwa pia kwa wingi vijijini kwa njia mbalimbali.


JJ

John,

Kama CCM wanaredi inaitwa Radio UHURU, ni kwanini nasi tusiwe na radio? Naweza nikaanzisha halafu mukairun nyie?
 
Invisible & your team, asante kwa ujumbe na kila la kheri kwenye kuukaribisha 2010. Nawatakia mafanikio zaidi na Idumu JF daima!
 
Wimbo mzuri kwa harakati za mabadiliko. Naweza kuupataje kwenye CD?

Kuna nyimbo nyingi sana nzuri za ukombozi lakini hazipati hasaa wa kusikika redioni.

Kuna Msanii toka Chunya wanamuita Nabii- ana wimbo wake wenye maneno 'ni marafiki wanapohitaji kura, kuiba na kujiuzulu ndio yao staili' unasadifu sana maneno ya wimbo huu. Kuna mtu anao huu pia kwenye CD?


Halafu kuna nyimbo za vyama vya upinzani nazo hazipati kabisa fursa ya kusikika redio; mathalani CHADEMA kuna msanii anaitwa Mwana-Cotide naye kuna nyimbo zake kadhaa.

Kuna haja ya nyimbo kama hizo kuwepo kwenye radio na televisheni za mtandaoni na kusambazwa pia kwa wingi vijijini kwa njia mbalimbali.


JJ

Ndugu Mnyika, kuna mtoa hoja mmoja amesema CHADEMA ijaribu kuwa na radio yake nadhani ni wazo zuri. Juhudi za kuwa na helkopter tumeziona sasa mnahitaji radio au hata na TV station pia.
 
[mp3]http://www.jambovideos.com/bongos/dec09/Mr_Presedent.mp3[/mp3]

Nawatakia kila la heri kuelekea 2010

Asante Invi' for this, kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi, sio vibaya ukaanzisha thread ya kufanya reflection na kuweka new years resolutions kwa 2010 ikiwemo kupanga malengo na kujadili utekelezaji ambapo miongoni mwa wana JF ambako wako serious na JF wakupe serious support tufanye mambo na kuzuia vile vilio on the middle of the road.
 
Ni mara yangu ya kwanza kujitambulisha kwenu nikiwatakia nyote Kheri na baraka tele kwa Mwaka Mpya ambao ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais kura zenu ni muhimu msiache kushiriki wakati utakapo wadia tafakari na chukua hatua sahihi. Mungu awabariki wote
 
Kiko kwenye format ya flash player, kama pc yako haina, itakuuliza dowload flash player?, ukiclick yes, inadowload na utaweza kuusikia.
Safi mkuu Pasco, umeelekeza vema, si lazima awepo moderator kuelekeza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom