Ujue Mti chonganishi

Mbali na maswala ya kiimani, mimi ningependa kujuzwa ni mti gani ambao ni mzuri sana kwa kivuli na ni rafiki kupandwa karibu na nyumba bila kuleta madhara, haswa ya mizizi kusambaa hadi kwenye msingi wa nyumba?.

Upandwe walau futi 9 au 10 toka ulipo msingi. Asante mkuu, natanguliza shukrani
Mara nyingi watu wa botany wanajua vizuri aina za miti ya kupanda karibu na nyumba ila mimi nakushauri panda miti ya matunda yanayoliwa na binadamu
 
Mbali na maswala ya kiimani, mimi ningependa kujuzwa ni mti gani ambao ni mzuri sana kwa kivuli na ni rafiki kupandwa karibu na nyumba bila kuleta madhara, haswa ya mizizi kusambaa hadi kwenye msingi wa nyumba?.

Upandwe walau futi 9 au 10 toka ulipo msingi. Asante mkuu, natanguliza shukrani
Mara nyingi watu wa botany wanajua vizuri aina za miti ya kupanda karibu na nyumba ila mimi nakushauri panda miti ya matunda yanayoliwa na binadamu
 
Mara nyingi watu wa botany wanajua vizuri aina za miti ya kupanda karibu na nyumba ila mimi nakushauri panda miti ya matunda yanayoliwa na binadamu
Sawa kiongozi, ngoja nifuatilie nione ni mti gani mzuri wa matunda waweza pia tumika kwa kivuli na wakati huo huo usisambaze mizizi. Uwe ni mti wenye mzizi mkuu
 
Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome kimyakimya tuu.

Kuna huu mti unaopendwa kupandwa kuzunguka nyumba zetu, ni mti mzuri wenye kivuli kizuri, hujulikana kama mti mwamvuli na matawi yake huota kwa mpangilio maalum
Ni mti wenye mizizi mirefu yenye nguvu ya ajabu kiroho katika ulimwengu uonekanoa Mizizi yake yenye nguvu huweza kupenya kwenye msingi wa nyumba na kusababisha ufa au nyufa na kuleta uharibifu mkubwa kwenye jengo lako.

Nyufa husika zisipodhibitiwa mapema huweza hata kusababisha nyumba kubomoka au hata kuanguka.. Nyufa hizi zina madhara ya moja kwa moja kiroho nyufa hizi huleta nyufa kwenye familia, mikosi na hata vifo wakati mizizi ikileta nyufa kwenye nyumba jengo, nguvu yake huleta nyufa katika familia.

Nyufa ndani ya familia husababisha mshikamano uliopo kukatika vipande vipande, watu kukosa ajira, biashara kuanguka, watoto kufeli masomo na vifo hasa vya wazazi
Sio mzi mzuri wa kupanda nyumbani na wengi sasa wanaukata Kama unao nyumbani kwako hebu linganisha na hiki nilichoandika hapa.
14b6c812d3da7967172acd3db2c429bf.jpg
Kaka Mshana Jr, ukifa utaacha pengo kubwa sana
 
Yeah mkuu mshana kuna miti ambayo si dawa wala sio ya matunda now days imekua ni comon sana mm sipend hata mmoja nahis walioileta walikua wana maana ikiwemo michongoma
Kwa ss waislam ukiifutilia kiundan utagundua khii mit n haram kuipanda
 
kaka mshana utasababisha deforestation hapa nchini...wananchi watakata miti yote. huoni kama huu ni uchochezi dhidi ya miti, unagombanisha raia na miti yao?:D:D:D
 
Haki ya MUNGU kwetu upo na hapa ninatype ila tayari mzee kashaondoka mambo hayaendi,migogoro kila Siku yan full purukushani. MOLA akuzidishie pumzi mshana uendelee kutusanua nafanya mpango wa kusaka mtu aje aukate leo leo
 
Haki ya MUNGU kwetu upo na hapa ninatype ila tayari mzee kashaondoka mambo hayaendi,migogoro kila Siku yan full purukushani. MOLA akuzidishie pumzi mshana uendelee kutusanua nafanya mpango wa kusaka mtu aje aukate leo leo
poleni sana
 
IMG-20171106-WA0018.jpg
una jina zuri lakini uhalisia ni tofauti kabisa.. Uhalisia ni bustani ya kifo
 
Back
Top Bottom