benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,035
Hii ni orodha fupi ya baadhi ya viongozi wa Marekani ambao wamewahi kutembelea Tanzania kwa nyakati mbalimbalu.
1. Rais Barack Obama: Aliitembelea Tanzania mwaka 2013 akiwa madarakani na kukutana na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete
2. Rais Bill Clinton: Aliitembelea Tanzania mara kadhaa wakati wa utawala wake, ikiwa ni pamoja na ziara yake ya kihistoria mwaka 1998 ambapo alizungumza na wakazi wa jijini Dar es Salaam baada ya kutokea kwa mashambulizi ya bomu katika ubalozi wa Marekani.
3. Rais George W. Bush: Aliitembelea Tanzania mwaka 2008, ambapo alikutana na rais wa Tanzania wakati huo, Jakaya Kikwete na kutia saini makubaliano ya MCC
Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris anatarajiwa kuanza zaira nchini Tanzania Jumatano tarehe 29/03 hadi 31/02/2023
Kwa mliokuwepo zamani kipi mnakumbuka katika ziara hizi, mimi nakumbuka barabara zilivyopigwa deki na lile lindege la Rais
1. Rais Barack Obama: Aliitembelea Tanzania mwaka 2013 akiwa madarakani na kukutana na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete
2. Rais Bill Clinton: Aliitembelea Tanzania mara kadhaa wakati wa utawala wake, ikiwa ni pamoja na ziara yake ya kihistoria mwaka 1998 ambapo alizungumza na wakazi wa jijini Dar es Salaam baada ya kutokea kwa mashambulizi ya bomu katika ubalozi wa Marekani.
3. Rais George W. Bush: Aliitembelea Tanzania mwaka 2008, ambapo alikutana na rais wa Tanzania wakati huo, Jakaya Kikwete na kutia saini makubaliano ya MCC
Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris anatarajiwa kuanza zaira nchini Tanzania Jumatano tarehe 29/03 hadi 31/02/2023
Kwa mliokuwepo zamani kipi mnakumbuka katika ziara hizi, mimi nakumbuka barabara zilivyopigwa deki na lile lindege la Rais