Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
KAZI IPOOOOOOOO
aa makobaziii endeleeni kula tende za msaada kutoka kwa mabwana zenu... Wanaobinuabinua kama samaki....!!.Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Tunamtaka Mwabukusi awashe moto mwingine
Hao DP World ni watanzania wenzetu, walichokuwa wanafanya ni kupenyeza kichwa tu, kisha mimba ipatakane. Maadam wameshaingiza kichwa kifuatacho ni kuvumillia tu maumivu.Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Kaka tunakosa vipi wasiwasi kama makubaliano wananchi waliitangaziwa wasiwe na Shaka ni bandari ya DAR peke yake …. Tena Gate chache leo tunaona hadi mtwara na tanga wanaandaliwa ?Hakuna mgogoro wowote wala tishio lolote la kiusalama, kwasababu DPW imepewa a security clearance, na wao ni operators only, ulinzi wa mipaka yetu bado jukumu la JWTZ, hivyo usiwe na wasiwasi kabisa!.
P
Hapo ulipo mweusi ukikaa karibu na kiwi inageuka zeruzeru lakini unajihisi nawe ni mwarabu kisa unavaa KOBAZI sasa kaombe kazi huko dp Kisha wakuombe USHUZI tuone kama utagoma maana utahisi unampatia saidina oumar shwaine weyeHakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
.Watz ni wasahaulifu na wabinafsi kupitiliza. Nchi hii hakuna kitu kinaitwa maslahi ya umma bali kuna maslahi ya mtu mmoja mmoja. Ndio maana si kawaida ya Watz kushangilia mwenzao akianguka kimaisha
Una umri gani?Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Miaka 12 mkuuUna umri gani?
Uzuri wenyewe MAKAFIRI na wale "WATAKATIFU" wote wameambiwa wachague kuingia DPW au wabaki bandari ili wahamishiwe Itungi port huko Ludewa Manda..!!
Hata demu huwa anadanganywa kuwa naingiza kichwa tu akikubali kaisha
Watumishi wa TPA wengi ni wavivu awawezi...Wanapelekwa kweny maziwa ,washashtuka .
Dp world wana mshahara na maslahi mazuri ila kuna " performance securing declaration" ukisaini hapo ukaenda nje ya utendaji kazi basi hauna kazi.