sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
sosoliso hiyo namba moja ndio umepatia labisa upinzania haijawahi na haitokuja kutokea narudia tena kupata supporters wamaana . Watabaki na hao hao wavuta bangi na walevi mdio maana hatupata nafasi ya kuongoza Tanzania fullstop
Daaah.. Inawezekana ninajaribu kueleweshana na asieleewa.. Siku njema Mkuu..