Ujio wa Balozi Augustino Mahiga inaweza ikawa ndo mwisho wa mchungaji Peter Msigwa?

Mahiga amefanya nini tangu awe mwanasisa kutoka Iringa.....zero.....mtu wa matunizi kama jk na kujichumbua.....muulize kwa nini alitengana na ms Janet mbene
 
Kwa wale ambao mna umri wa kati na kuendelea mtakumbuka kwamba Willfred Lwakatare alikuwa Mbunge wa Bukoba mjini kupitia CUF na alikuwa na influence nyingi sana.

Lakini CCM walivyo wajanja wakampeleka Balozi Hamis Kagasheki, na huo ndo ulikuwa mwisho kumuona Lwakatare bungeni.

Je, historia itajirudia kwa Iringa mjini?

October sio mbali, tusubiri.
vipi bado imani yako inakutuma kuamini ulichoandika ?
 
Kwa wale ambao mna umri wa kati na kuendelea mtakumbuka kwamba Willfred Lwakatare alikuwa Mbunge wa Bukoba mjini kupitia CUF na alikuwa na influence nyingi sana.

Lakini CCM walivyo wajanja wakampeleka Balozi Hamis Kagasheki, na huo ndo ulikuwa mwisho kumuona Lwakatare bungeni.

Je, historia itajirudia kwa Iringa mjini?

October sio mbali, tusubiri.
Abunuwas kwenye vitabu vya hadith ni kiongozi wa ujinga na upumbavu. Unaleta hoja ya kipumbavu

1. Lwakatare ni mbunge wa Bukoba amemuangusha Balozi Kagasheki.

2. Kwani huyo balozi wa Iringa hakugombea ndania ya CCM

Upuuzi wenu CCM kupiga ramli mnajidhalilisha
 
mkuu kwanza imebidi nicheke kama umekuwa mfuatiliaji hivi kama magufuli. nianze kwanza na Kagasheki-lwakatare, sikushangaa sana kaga kupoteza ubunge hasa ukizingatia kwa kipindi chake chote cha ubunge uliopita alikuwa kwenye vita isiyoisha na antony (aliyekuwa meya) na baadaye kugeukia upinzani. viti hiyo iliwashinda hata viongozi waandamizi ndani ya ccm kama pinda na mang'ula. hiyo ni obvious kwamba kaga alikuwa tayari keshapotea kwa sababu lwaka alikuwa na mtaji wake na ukijumlisha na wa antony ulikuwa ni ushindi tosha. na mifano iko mingi sana kwenye hayo kama tarime baada ya chacha wangwe kufa chadema walishinda lakini uchaguzi uliofuata chadema walipoteza baada ya aliyekuwa mbunge marwa kuhamia cuf baada ya chadema kumpitisha mwita (mb ukonga) na nyangwine kupita katikati yao. au kama segerea jinsi wapinzani walivyopoteza baada ya chadema kumhujumu julius mtatiro. kwa hiyo kwa sisi waelewa tulikuwa tunajua kuwa kaga anahali ngumu. lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa influence ya kagasheki ndo iliyompunzisha Lwakatare bungeni kwa miaka takribani 10. lakini hata hivyo yote hayo ni majembe, kwangu mimi yeyote angeenda sawa tu maana tumeona kazi zao pale bungeni, hii itakuwa tofauti sana na nyie wanazi wa vyama ambao mpo tayari hata mazezeta yaende bungeni kisa kuifia chama.
kuhusu hilo la waziri wa mambo ya kigeni (augustino) sikuamini macho yangu maana aliishia kwenye kura za maoni ndani ya ccm kwa kushindwa na mwakalebela. hapo sina comment. sijui kama nimekujibu vya kutosha lakini.....

vipi bado imani yako inakutuma kuamini ulichoandika ?
 
huyu balozi yeye na watoto wake hawajui kiswahili vizuri,waliwatelekeza watu wa iringa kwa miaka mingi na hata famikia yake haiishi iringa. mtu pekee ambaye anafanana na wana iringa na amekaa nao miaka ni msigwa
hilo ni kweli sana. watu wa Iringa si wa mchezo. kama hajui kishwahili ndo basi tena.si rahisi kumtoa msigwa. Japokuwa waliwahi mchagua wa NCCR mwaka 95-2000 wakamtoa mbaya. kisa hakufanya kazi vema. kwahiyo tusubiri
 
Mahiga amefanya nini tangu awe mwanasisa kutoka Iringa.....zero.....mtu wa matunizi kama jk na kujichumbua.....muulize kwa nini alitengana na ms Janet mbene
mambo ya kuachana na Janeth na kuingia Ubunge Iringa wapi na wapi?
wangapi wanaachana na ni viongozi wazuri.
 
Ama kwa hakika kwa fanbase aliyonayo Rev. Msigwa na influence waliyonayo CDM pale Iringa mjini itakuwa ni shughuli pevu kung'oka
 
Abunuwas kwenye vitabu vya hadith ni kiongozi wa ujinga na upumbavu. Unaleta hoja ya kipumbavu

1. Lwakatare ni mbunge wa Bukoba amemuangusha Balozi Kagasheki.

2. Kwani huyo balozi wa Iringa hakugombea ndania ya CCM

Upuuzi wenu CCM kupiga ramli mnajidhalilisha
mkuu naona umerukia kunitukana kwa thread iliyoandikwa kabla ya tukio. miaka 10 iliyopita lwakatare alipoteza ubunge wa bukoba kwa kagasheki baada ya ubunge wa miaka 5 kabla akiwakilisha CUF. angalia thread ilikuwa ya lini sio kurukia tu kutukana. after all ilikuwa ni mada mtambuka wala siku-conclude. jifunze, hamna duka la busara useme ukanunue.
 
mkuu naona umerukia kunitukana kwa thread iliyoandikwa kabla ya tukio. miaka 10 iliyopita lwakatare alipoteza ubunge wa bukoba kwa kagasheki baada ya ubunge wa miaka 5 kabla akiwakilisha CUF. angalia thread ilikuwa ya lini sio kurukia tu kutukana. after all ilikuwa ni mada mtambuka wala siku-conclude. jifunze, hamna duka la busara useme ukanunue.
Kwani wewe hukusoma hekaya za Abunuwas?
 
Nilimuambia Mwakalabela kuwa achana na historia angalia uhalisia.
Wananchi wa Iringa walimpigia mchungaji kura kwa wingi sababu ya hasira lakini baadaye wakagundua kuwa hasira yao iliwaongoza kupata kitu sahihi, hivyo anapaswa kuliona hilo katika muonekano wake wa sasa na siyo ule uliopita.
Nipo na Mwakalebela kwenye group letu la wasapu ngoja nicopy nikampistie kule hii post yako imedhihiri na bado inaishi ili mwaka 2020 asipoteze tena pesa zake maana najuwa wapo njaa kali wa ccm watamdanganya achukuwe fomu.
 
Back
Top Bottom