- Thread starter
- #101
mkuu kama haya uyasemayo ni kweli basi nimenyoosha mikono. sikutarajia kabisa. mwaka huu hawatamshitaki tena maana tamaa yao iko kwenye jimbo kuliko hata maadili,Watu wengine kwa kuota ndoto za mchana hamjambo...sasa huyo Balozi Mahiga kaishia wapi Abunuas? Kama hajui kutoa rushwa hana nafasi ndani ya CCM na sasa naambiwa yule mtoaji mzuri wa rushwa wa mwaka 2010 keshafanya vitu vyake, Mahiga hoi kwa Mwakalebela!