'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

mkuu hiyo ada elekezi ilikuwepo hata kabla haujajenga hiyo shule ndo hivyo tena hamna namna, subiri akina mbowe wabadili sharia magufuli anatekeleza sharia zilizotungwa na bunge, sasa unamtukana mtu hata mwezi hajamaliza.
 
Ingekuwa mm ningepeleka mswada bungen kwamba ukisha kuwa mtumishi wa uma ni lazima mtoto wako asome shule za serikali,familia zitibiwe kwenye hospital za serikali najua hiyo ingesaidia kuboresha hizo huduma,nakumbuka kipindi tupo shule kipindi hicho tulikuwa tunasoma na watoto wa watumishi wa uma kama wakuu wa mikoa au wilaya lkn siku hizi c dhan kama kuna mtu anapeleka mtoto wake huko..
mbona watoto wa magufuli wanasoma shule za serikali na mkewe ni mwalimu wa shule ya serikali.
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!
Huna adabu wewe
 
Subiri hayo maelekezi ndo ujue una hoja ya kuanzisha Uzi au la. Ewura na Sumatra hulalamiki. Hapa umeguswa nini ?

Umeguswa wewe kwenye ilo ndo maana unakuwa mkali kasome masharti ya uanzishwaji wa shule ndo urudi apa.Policy ipo watu walikuwa wakiiby pass.
Kila sector ina bei elekeZi mbona hulalamiki mafuta kupewa bei elekeZi au bse hauko uko?
Basi acha na wenye mafuta wajipangir bei watakavyo tuone kama patakalika apa

mafuta na usafiri ni tofauti na elimu. kwenda shule binafsi sio lazima, ni uwezo wa mtu. ila kupanda daladala utapanda tu, au la utembee au uwe na gari yako. vile vile kwa mafuta, lazima tu utanunua kama unahitaji na ndiyo maana kuna bei elekezi!
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

Kila mradi mkubwa unaotaka kufanya kwenye Nchi yoyote duniani kuna policy..unatakiwa uzisome na ujiridhishe kama upo tayari kuekeza.
Binafsi naona inachofanya serikali hakuna jipya.... ni kuwaambia tu watu (waekezaji) wafuate utaratibu na taratibu za mradi husika... kama vile Eura wanavyofanya kazi, TANESCO nk...wanapewa bei elekezi
Usije kuwa upo kwenye lile kundi la "mangungo wa Msovero"....kusaini au kukubali mkataba bila kujua kilichopo ndani.
Ningekuelewa kama ungependekeza huo utaratibu ubadilishwe...ili shule ziende kwa Nguvu ya soko






 
Kuwa na ada elekezi siyo mbaya. Ila mbaya ni kupanga ada. Huduma na miundo mbinu kwenye hizi shule inatofautiana sana. Hapo ndipo ninapoona ugumu wa zoezi hili. Ni lazima kazi ya ziada ifanyike ili kuweza kutengeneza bei elekezi zinazo cover shule za maeneo yote.
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

Wewe ndio una mawazo ya kijinga kupita maelezo ni bora ungejikalia kimya
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!
Wewe ni mjinga na Wazungu ambao ni mabepari wala hauwaelewi, chukuwa fedha zako sasa halafu nenda Marekani ukaanzishe shule halafu uone kama hao mabepari watakupa kibali cha kuelimisha watoto wao bila ya wewe kutimiza masharti yao uanzsihwaji shule!

 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

Nna uhakika ulitumia chibuku wakat unaandika
 
Ikulu ni statehouse. State ndio mamlaka ya taifa. Taifa ndio upanga watu waishije wafanye nn na wasome mitaala IPI. Award zote za academic utolewa na rais ama moja kwa moja au kupitia makamu wa vyuo ambao anawaweka rais ili wamkaimu. Ikulu ni ofisi ya kiongozi mkuu wa state
 
Watu mnamtukana mleta mada wakati kaleta mawazo yake. Kwani hizo shule za private ambazo unalipa mamilioni mmelazimishwa kupeleka watoto huko?

Ni sawa na maduka ya nguo yapo yanayouza nguo flani kwa elfu kumi ila nguo hiyohiyo kwingine ikauzwa laki mbili, hujalazimishwa kununua.

Hapa mamlaka husika imekosea kabisa, wapewe shule kila mwanafunzi akilipa buku kwa siku tuone kama wataweza kutumia hiyo hela kumlisha mwanafunzi milo mitatu na kulipa walimu. It is stupid, yani hilo hata kilaza analiona wazi kabisa.
 
Jombaa hayo majengo yako ya shule kwa nini usibadilishe iwe baa. kama umeshindwa ada elekezi si uache tuuu!!
 
Kikwete aliwachia sasa hii nchi, mkawa mnajitafunia tu!
 
Bei elekezi kwenye nauli za mabus na daladala, mafuta ya magari, maji na umeme uliona powa tu. Sasa imekuja sehemu yako unayonyonyea wananchi umeona nongwa eeh? Subiri uisome namba. Na bado zinakuja bei elekezi kwenye kodi ya nyumba za kupangisha, guest house na gharama za hospitali. Mtanyooka tu
 
pole mkuu! inchi haiwezi kuwa hivyo mpaka kuwe na ada elekezi

ndio amri ishatoka, ukitaka kufunga shule we funga tu. ibadili kwa matumizimengine

naogopa kukufundisha au kukuelekeza kwa upana na undani, maana akili yako hajawa tayari

Hili ni taifa, sio kijiwe cha wakimbizi
Waberoya umepotoka.
zisake sababu zilizoikwamisha serikali ya mjamaa Julius kutaifisha shule binafsi.

Serikali iboreshe Ilboru zake, mazengo zake, Tambaza zake, mzumbe zake, n.k

serikali haina maono ya kiseminari tunapowaandalia pamoja na viongozi wetu wa kiroho.
 
Last edited by a moderator:
Umasikini lazima tugawane baba mlizoea kujitenga wenyewe nasisi tunaleta watoto wetu uko st.nii bana kwann nyie tu..Mwaka huu ndo mtajua wote ni binadamu nabado
 
Kuwa na ada elekezi siyo mbaya. Ila mbaya ni kupanga ada. Huduma na miundo mbinu kwenye hizi shule inatofautiana sana. Hapo ndipo ninapoona ugumu wa zoezi hili. Ni lazima kazi ya ziada ifanyike ili kuweza kutengeneza bei elekezi zinazo cover shule za maeneo yote.

Ndio uelewe kuwa jamaa anataka kufuta matabaka kwenye shule zetu. Ayo mazingira yafanane, pasiwepo na high class na lower classed citizens
 
Back
Top Bottom