Ujenzi wa mji wa kisasa Arusha; mbunge Goodbless Lema naye anahusika?

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,976
32,380
Wanabodi..

Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai.

Wanatarajiwa kuboresha jiji la Arusha kwa kuwekeza katika mradi mkubwa wa ujenzi wa mji wa kisasa wa kibiashara.

Utajengwa katika eneo la Kaloleni jijini Arusha..

Lema anausika kwenye huu mradi wa wana Arusha kama mbunge au katoa mchango gani?

Mradi huo unataraji kukamilika ndani ya miaka mitano ambapo jumla ya wakazi 24,000 ambao wanaishi Kaloleni watalazimika kupisha ujenzi huo..
Kwa mujibu wa Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo katika kikao cha kamati ya uwekezaji, alisema mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa jiji la Arusha.

Katika mradi huo wanatarajia kujenga maduka makubwa, shule, hospitali, sehemu za kupumzika pamoja na maeneo ya maegesho ya magari..

Chadema wanasemaje kuhusu huu mradi wa Arusha
 
Wanabodi..

Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai.

Wanatarajiwa kuboresha jiji la Arusha kwa kuwekeza katika mradi mkubwa wa ujenzi wa mji wa kisasa wa kibiashara.

Utajengwa katika eneo la Kaloleni jijini Arusha..

Lema anausika kwenye huu mradi wa wana Arusha kama mbunge au katoa mchango gani?

Mradi huo unataraji kukamilika ndani ya miaka mitano ambapo jumla ya wakazi 24,000 ambao wanaishi Kaloleni watalazimika kupisha ujenzi huo..
Kwa mujibu wa Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo katika kikao cha kamati ya uwekezaji, alisema mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa jiji la Arusha.

Katika mradi huo wanatarajia kujenga maduka makubwa, shule, hospitali, sehemu za kupumzika pamoja na maeneo ya maegesho ya magari..

Chadema wanasemaje kuhusu huu mradi wa Arusha
Lema hausiki wanaohusika ni "Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai."
 
Lema hausiki wanaohusika ni "Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai."

Pongezi kwa halmashauri ya jiji la Arusha!
 
Kwani lema si miongoni mwa wajumbe wa madiwani wa halmashuri. Maana meya hawezi kupitisha jambo lolote peke yake.:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
 
Mkuu ritz,

Hizo nyumba zitakazohusika na huu mradi zina wakaazi zaidi ya mia tano.Shida kubwa watakayokumbana nayo wakaazi watakapisha huo mradi ni kodi kubwa za nyumba jiji Arusha na upatikanaji wa nyumba nyingi kwaajili ya kuwapokea watu mia tano kwa mara moja.Huu mradi mwanzoni ulikuwa uchukuliwe na NSSF nadhani ulishindikana kwasababu ulihitaji fedha nyingi kwa mara moja.

Mheshimiwa diwani wa Kaloleni Rasta alipinga wazo la mradi kutekelezwa kwa mara moja kwa hofu ya wananchi wengi kukosa mahali pa kujihifadhi bahati mbaya CDM wameshamtimua wakaazi wa Kaloleni hawana mwakiishi wa kuwatetea.

Ingawa kuna baadhi ya wakaazi wa Kaloleni watakao angaika kwa kukosa sehemu nzuri ya kujihifadhi lakini faida za mradi ni kubwa na nzuri kwa jiji la Arusha na wakaazi wake.



Wanabodi..

Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai.

Wanatarajiwa kuboresha jiji la Arusha kwa kuwekeza katika mradi mkubwa wa ujenzi wa mji wa kisasa wa kibiashara.

Utajengwa katika eneo la Kaloleni jijini Arusha..

Lema anausika kwenye huu mradi wa wana Arusha kama mbunge au katoa mchango gani?

Mradi huo unataraji kukamilika ndani ya miaka mitano ambapo jumla ya wakazi 24,000 ambao wanaishi Kaloleni watalazimika kupisha ujenzi huo..
Kwa mujibu wa Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo katika kikao cha kamati ya uwekezaji, alisema mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa jiji la Arusha.

Katika mradi huo wanatarajia kujenga maduka makubwa, shule, hospitali, sehemu za kupumzika pamoja na maeneo ya maegesho ya magari..

Chadema wanasemaje kuhusu huu mradi wa Arusha
 
Chadema wamekalia maandamano tu wakati CCM wanawatumikia wana Arusha

ccm ipi inawatumikia wanawa arusha kama siyo unaongea kwa kutumia masaburi arusha ina madiwani na mbunge haina meya kama kibaraka wenzako ritz anavyo sema acha ushabiki wa nape hatamahali hapaitjiki kuweka ushabiki unaweka kama ujui kusoma hata picha uoni imeandikwa sana kwenye magazeti arusha haina meya na tarehe 5 januar uliona kwenye tv bado elimu huikubali nimesahau kumbe unafanya kazi ya nape
 
Wanabodi..

Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai.

Wanatarajiwa kuboresha jiji la Arusha kwa kuwekeza katika mradi mkubwa wa ujenzi wa mji wa kisasa wa kibiashara.

Utajengwa katika eneo la Kaloleni jijini Arusha..

Lema anausika kwenye huu mradi wa wana Arusha kama mbunge au katoa mchango gani?

Mradi huo unataraji kukamilika ndani ya miaka mitano ambapo jumla ya wakazi 24,000 ambao wanaishi Kaloleni watalazimika kupisha ujenzi huo..
Kwa mujibu wa Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo katika kikao cha kamati ya uwekezaji, alisema mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa jiji la Arusha.

Katika mradi huo wanatarajia kujenga maduka makubwa, shule, hospitali, sehemu za kupumzika pamoja na maeneo ya maegesho ya magari..

Chadema wanasemaje kuhusu huu mradi wa Arusha

Arusha haina meya arusha ina madiwani na mbunge
 
Wanabodi..

Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya Phils International ya Dubai.

Wanatarajiwa kuboresha jiji la Arusha kwa kuwekeza katika mradi mkubwa wa ujenzi wa mji wa kisasa wa kibiashara.

Utajengwa katika eneo la Kaloleni jijini Arusha..

Lema anausika kwenye huu mradi wa wana Arusha kama mbunge au katoa mchango gani?

Mradi huo unataraji kukamilika ndani ya miaka mitano ambapo jumla ya wakazi 24,000 ambao wanaishi Kaloleni watalazimika kupisha ujenzi huo..
Kwa mujibu wa Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo katika kikao cha kamati ya uwekezaji, alisema mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa jiji la Arusha.

Katika mradi huo wanatarajia kujenga maduka makubwa, shule, hospitali, sehemu za kupumzika pamoja na maeneo ya maegesho ya magari..

Chadema wanasemaje kuhusu huu mradi wa Arusha

Arusha haina meya arusha ina madiwani na mbunge
 
Heshima mgafilika.

Arusha inahitaji maendeleo suala la Meya lilishamalizika siku nyingi kinachoendelea ni propaganda za kisiasa ambazo hazina mashiko.Uchaguzi wa Meya ukishafanyika zipo siku 30 za kumpinga mahakamani kama CDM haikufanya hivyo wakaamua kuandamana hadi watu wakafa leo unakwenda mwaka wa pili bado haujafunguka waalimu wako walikuwa na taabu kubwa.


ccm ipi inawatumikia wanawa arusha kama siyo unaongea kwa kutumia masaburi arusha ina madiwani na mbunge haina meya kama kibaraka wenzako ritz anavyo sema acha ushabiki wa nape hatamahali hapaitjiki kuweka ushabiki unaweka kama ujui kusoma hata picha uoni imeandikwa sana kwenye magazeti arusha haina meya na tarehe 5 januar uliona kwenye tv bado elimu huikubali nimesahau kumbe unafanya kazi ya nape
 
Cha Moto.

Ni kweli mradi ulikuwepo siku nyingi lakini utekelezaji ulisuasua Meya wa sasa Mheshimiwa Lyimo kafanya kweli ukikamilika atakuwa na haki ya kujivunia yeye na chama chake.


Huu mradi upo hata kabla Lema hajawa mbunge na Lyimo hajawa Meya .........
Uliza wenyeji kwanza, tukuelezeee.
 
Heshima mgafilika.

Arusha inahitaji maendeleo suala la Meya lilishamalizika siku nyingi kinachoendelea ni propaganda za kisiasa ambazo hazina mashiko.Uchaguzi wa Meya ukishafanyika zipo siku 30 za kumpinga mahakamani kama CDM haikufanya hivyo wakaamua kuandamana hadi watu wakafa leo unakwenda mwaka wa pili bado haujafunguka waalimu wako walikuwa na taabu kubwa.

kwa mujibu wa kazi yako uliyo tumwana nape na pinda swala la umeya arusha kwa upande wenu umekwisha lakini kwetu sisi wana waarusha hauja kwisha hata kidogo arusha inaongozwa na mbunge wacha ubwege ccm mkishindwa kwa hoja mnakimbilia elimu
 
Nimeangalia ulijiunga lini JF nikakuta tangu mwaka 2007 hupo hapa jamvini huna ulichojifunza kunakila dalili wewe ni kati ya wale vijana wala mirungi ambao hoja ujibiwa kwa viroja.


Ikiwa suala la Meya halijaisha mbona mbona hamkwenda mahakamani ndani ya siku 30 kama sheria inavyoelekeza ?.Utafanya nini kama maandamano mlishaandamana hakuna kitu !.

kwa mujibu wa kazi yako uliyo tumwana nape na pinda swala la umeya arusha kwa upande wenu umekwisha lakini kwetu sisi wana waarusha hauja kwisha hata kidogo arusha inaongozwa na mbunge wacha ubwege ccm mkishindwa kwa hoja mnakimbilia elimu
 
hivi kuna ulazima gani wa kujenga Kaloleni kwanini wasiweke hayo majengo nje ya mji hii ndio baadae itakua kama dar traffic jam kibao maaana kila kitu kitakua mjini.haya na AICC wakimaliza mradi wao wa soweto wa kujenga bussines complex si itakua ni vurugu tupu
 
Lema kwa uwezo gani alionao ashiriki kwenye shughuli za maendeleo?
yeye na chama chake ni misiba na maandamano,hata china atayafuata ashiriki.
OTIS
 
Mradi ni mzuri kama hautakuwa na ufisadi jambo ambalo ni gumu kwa sasa kwa manispaa ya Arusha, mkurugenzi ni mwizi wa "mchana kweupe" sasa sijui tutaponaje hapo. Ila jambo moja la msingi ni kwamba katika maswala ya maendeleo siasa zapaswa kukaa pembeni na kusimamia sera badala ya ujuaji ninachokiona hapa magamba wanakuja na ujuaji kana kwamba miradi inatekelezwa kisiasa ila ukweli kazi ya siasa itabaki kwenye sera.. na kwa mantiki hiyo kisera Arusha ni CDM gamba lipo mbali hata wao wanajua hilo
 
Lema kwa uwezo gani alionao ashiriki kwenye shughuli za maendeleo?
yeye na chama chake ni misiba na maandamano,hata china atayafuata ashiriki.
OTIS
Sasa kwenye magamba ni nani mwenye uwezo kama hata nchi sasa imefilisika? Au huna habari hebu soma/kong'oli hapa ili ujue kwamba magamba imejaa vilaza..
 
Back
Top Bottom