Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Serikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya Congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya Congo.