wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
uhusiano wa CCM na WANANCHI ni sawa na ule wa mfuga kuku wa kienyeji na kuku wake, Mfugaji ukiona anawapa pumba au nafaka kuku wake basi ujue kuna mgeni anakuja na kuku anaandaliwa kuchinjwa.
ukiona CCM iko karibu na wananchi basi ujue UCHAGUZI uko mlangoni.. hapo utawaona wanaojidai makada wa CCM wakiwatembelea wananchi na fulana, kofia chumvi na kanga kuonesha mapenzi yao kwa wananchi. lakini baada ya uchaguzi imekula kwako huwaoni tena mpka baada ya miaka mitano.
Lakini sasa wananchi wamegundua janja ya Chama cha Mafisadi (CCM) vitu vyao wakileta vinapokelewa lakini kura ng"ooooooooooooo hatuwapi maana hivyo wanavyohonga wametuibia wenyewe, ni vyetu.
hatukubali tena kuwa kuku wa kienyeji wa kufrahia tshirt na kofia halafu baadaye tunajutia, SEMA NO KWA CCM...UKOMBOZI KAMILI 2015
ukiona CCM iko karibu na wananchi basi ujue UCHAGUZI uko mlangoni.. hapo utawaona wanaojidai makada wa CCM wakiwatembelea wananchi na fulana, kofia chumvi na kanga kuonesha mapenzi yao kwa wananchi. lakini baada ya uchaguzi imekula kwako huwaoni tena mpka baada ya miaka mitano.
Lakini sasa wananchi wamegundua janja ya Chama cha Mafisadi (CCM) vitu vyao wakileta vinapokelewa lakini kura ng"ooooooooooooo hatuwapi maana hivyo wanavyohonga wametuibia wenyewe, ni vyetu.
hatukubali tena kuwa kuku wa kienyeji wa kufrahia tshirt na kofia halafu baadaye tunajutia, SEMA NO KWA CCM...UKOMBOZI KAMILI 2015