Uhusiano kati ya Serikali, CCM na Kanisa Katoliki Tanzania.

Rabboni

JF-Expert Member
Apr 6, 2015
983
1,280
Serikali ni chombo kinachoongoza nchi,
CCM ni chama kinachounda serikali, inamaana chama kinamchango wa juu kabisa kwenye mambo yote ya serikali..

Kanisa katoliki ni jina linalotumika hasa
kumaanisha Kanisa la Kikristo linalokubali
mamlaka ya kiroho ya Papa wa Roma kama
mkuu wa urika wa Maaskofu juu yake lote..
Kanisa hili ndilo lenye wafuasi wengi kuliko yote na kwa imani zote,
Uwingi wa wafuasi wake na uimara wake unalifanya kuwa na impact hadi serikalini..

Regardless haya makanisa mengine ya akina Kakobe type hata wapige kelele kiasi gani hawaathiri chochote..

Gwajima mwenyewe ameamua kutafuta umaarufu ViA Kanisa Katoliki.. He will learn the lesson!!
There's good relationship between these institutions!!

Nawasilisha.
 
:behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::confused2::confused2:
 
Serikali ni chombo kinachoongoza nchi,
CCM ni chama kinachounda serikali, inamaana chama kinamchango wa juu kabisa kwenye mambo yote ya serikali..

Kanisa katoliki ni jina linalotumika hasa
kumaanisha Kanisa la Kikristo linalokubali
mamlaka ya kiroho ya Papa wa Roma kama
mkuu wa urika wa Maaskofu juu yake lote..
Kanisa hili ndilo lenye wafuasi wengi kuliko yote na kwa imani zote,
Uwingi wa wafuasi wake na uimara wake unalifanya kuwa na impact hadi serikalini..

Regardless haya makanisa mengine ya akina Kakobe type hata wapige kelele kiasi gani hawaathiri chochote..

Gwajima mwenyewe ameamua kutafuta umaarufu ViA Kanisa Katoliki.. He will learn the lesson!!
There's good relationship between these institutions!!

Nawasilisha.

Acha upumbavu, unatakiwa kujua mbinu chafu ya ccm kwabana wakatoliki kupitia kwa Pengo. Kwa taarifa yako Pengo ni kada wa ccm, na ni mtu wa system kama walivyo bakwata.

Wakatoliki walishamstukia Pengo ambaye amekuwa na tabia ya u-iskariote
 
umejiunga ili ulete uchochezi........?
Serikali ni chombo kinachoongoza nchi,
CCM ni chama kinachounda serikali, inamaana chama kinamchango wa juu kabisa kwenye mambo yote ya serikali..

Kanisa katoliki ni jina linalotumika hasa
kumaanisha Kanisa la Kikristo linalokubali
mamlaka ya kiroho ya Papa wa Roma kama
mkuu wa urika wa Maaskofu juu yake lote..
Kanisa hili ndilo lenye wafuasi wengi kuliko yote na kwa imani zote,
Uwingi wa wafuasi wake na uimara wake unalifanya kuwa na impact hadi serikalini..

Regardless haya makanisa mengine ya akina Kakobe type hata wapige kelele kiasi gani hawaathiri chochote..

Gwajima mwenyewe ameamua kutafuta umaarufu ViA Kanisa Katoliki.. He will learn the lesson!!
There's good relationship between these institutions!!

Nawasilisha.
 
Serikali ni chombo kinachoongoza nchi,
CCM ni chama kinachounda serikali, inamaana chama kinamchango wa juu kabisa kwenye mambo yote ya serikali..

Kanisa katoliki ni jina linalotumika hasa
kumaanisha Kanisa la Kikristo linalokubali
mamlaka ya kiroho ya Papa wa Roma kama
mkuu wa urika wa Maaskofu juu yake lote..
Kanisa hili ndilo lenye wafuasi wengi kuliko yote na kwa imani zote,
Uwingi wa wafuasi wake na uimara wake unalifanya kuwa na impact hadi serikalini..

Regardless haya makanisa mengine ya akina Kakobe type hata wapige kelele kiasi gani hawaathiri chochote..

Gwajima mwenyewe ameamua kutafuta umaarufu ViA Kanisa Katoliki.. He will learn the lesson!!
There's good relationship between these institutions!!

Nawasilisha.

Mkuu acha uchochezi
 
Acha upumbavu, unatakiwa kujua mbinu chafu ya ccm kwabana wakatoliki kupitia kwa Pengo. Kwa taarifa yako Pengo ni kada wa ccm, na ni mtu wa system kama walivyo bakwata.

Wakatoliki walishamstukia Pengo ambaye amekuwa na tabia ya u-iskariote

wakatoliki gani waliomshtukia Pengo.ukatoliki ni tasisi iliyojengwa ktk misingi imara na ya kufuata ushabiki.Yesu alimwambia petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huo nitalijenga kanisa na huo ndo msingi wa ukatoliki.wakatoliki hatufuati porojo tumefundishwa,elimishwa na tukaelimika.ni wachambuaji wa maswala si wakurupukaji na tunasimamia misingi yetu basi.hatuamini kuhusu visasi,chuki,dharau,kiburi,sifa na mambo yanayofanana na hayo.Siku zote tu wamoja na hatugawanyiki
 
wakatoliki gani waliomshtukia Pengo.ukatoliki ni tasisi iliyojengwa ktk misingi imara na ya kufuata ushabiki.Yesu alimwambia petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huo nitalijenga kanisa na huo ndo msingi wa ukatoliki.wakatoliki hatufuati porojo tumefundishwa,elimishwa na tukaelimika.ni wachambuaji wa maswala si wakurupukaji na tunasimamia misingi yetu basi.hatuamini kuhusu visasi,chuki,dharau,kiburi,sifa na mambo yanayofanana na hayo.Siku zote tu wamoja na hatugawanyiki

Hizi mbinu za kutafutia kura kwa gharama ya udini na kuwachonganisha zitawatokea puani. God is watching hata kama wanadamu hawaoni lakini God is watching,mtakuwa kama yule tajiri aliyejikusanyia mali nyingi akasema astarehe na mali zake na mara Mungu akamwambia usiku uleule anachukua roho yake. Hata mwaka huu watu wako tayari kupata madaraka kwa mbinu yoyote bila kujali uchafu wake wanaangalia starehe ya hayo madaraka huko mbele lakini Mungu anaangalia vizuri sana na kamwe hawatayafaidi matunda hay. Tusubiri tutaona maana Mungu si mwanadamu na hata aseme uongo!
 
Nakubaliana na wewe ukaribu wa kanisa na serikali na hasa kanisa katoliki na ndo maana hata ile memorandum of understanding kati ya kanisa na serikali ya kusaidia miradi ya kanisa na hasa kanisa katoliki mfano ya wazi serikali kusaidia uendeshwaji wa hospitali za kanisa za bugando na kcmc.

Sio vibaya serikali kufanya hivyo ila inatakiwa isifanye kwa dini moja tena kwa makubaliano endelevu namna ile utafikiri dini nyingine azihitaji huo msaada au kwa nn serikali isijenge hospitali nyingi za umma na kuacha dini husika iendeshe miradi yake yenyewe.

Kama inavyodaiwa kuwa mahakama ya kadhi iendeshwe na waislam wenyewe mm nakubali kabisa;na huko kwingine pawekwe level ili mambo yaende kama kawaida.
 
Watu wana hasira za kuhamishwa Packers, wewe unaweka msumari mwingine!
 
achana na kakobe ni jembe la Mungu , kawaulize TANESCO na CCM, waganga wa kienyeji, na wachawi watakupa habari zake
 
Nakubaliana na wewe ukaribu wa kanisa na serikali na hasa kanisa katoliki na ndo maana hata ile memorandum of understanding kati ya kanisa na serikali ya kusaidia miradi ya kanisa na hasa kanisa katoliki mfano ya wazi serikali kusaidia uendeshwaji wa hospitali za kanisa za bugando na kcmc.

Sio vibaya serikali kufanya hivyo ila inatakiwa isifanye kwa dini moja tena kwa makubaliano endelevu namna ile utafikiri dini nyingine azihitaji huo msaada au kwa nn serikali isijenge hospitali nyingi za umma na kuacha dini husika iendeshe miradi yake yenyewe.

Kama inavyodaiwa kuwa mahakama ya kadhi iendeshwe na waislam wenyewe mm nakubali kabisa;na huko kwingine pawekwe level ili mambo yaende kama kawaida.

Unaijua "memorandum of understanding"? Uliisoma nakuielewa? au ulisimuliwa na mtu tu, kisa unamwamini kwa itikadi flani basi ukayachukua kama yalivyo! Mtu alie isoma au anae ijua vizuri hawezi weka iyo argument hapa.
 
Uharamia wa Serikali kwenye makanisa na misikiti haukubaliki, mbona wasabato wanasali shule za serikali na hakuna kesi, mbona waislam walipewa chuo morogoro, GWAJIMA NA UWANJA WA WAZI iwe nomaaaaa
 
Serikali ni chombo kinachoongoza nchi,
CCM ni chama kinachounda serikali, inamaana chama kinamchango wa juu kabisa kwenye mambo yote ya serikali..

Kanisa katoliki ni jina linalotumika hasa
kumaanisha Kanisa la Kikristo linalokubali
mamlaka ya kiroho ya Papa wa Roma kama
mkuu wa urika wa Maaskofu juu yake lote..
Kanisa hili ndilo lenye wafuasi wengi kuliko yote na kwa imani zote,
Uwingi wa wafuasi wake na uimara wake unalifanya kuwa na impact hadi serikalini..

Regardless haya makanisa mengine ya akina Kakobe type hata wapige kelele kiasi gani hawaathiri chochote..

Gwajima mwenyewe ameamua kutafuta umaarufu ViA Kanisa Katoliki.. He will learn the lesson!!
There's good relationship between these institutions!!

Nawasilisha.

.
mie sikua nafahamu kama umasikini na ufisadi uliokithiri tuliosababishiwa na serikali ya ccm kanisa katoliki la kirumi linahusika. kipindi cha huko nyuma liliua wale lililowaita wazushi hadharani bila kificho kwa hiyo sasa linaendelea na mauaji yake in-direct kupitia dola.
Muumba atatunusuri na haya yote pia kwa kutuletea mkombozi.
.
 
wakatoliki gani waliomshtukia Pengo.ukatoliki ni tasisi iliyojengwa ktk misingi imara na ya kufuata ushabiki.Yesu alimxwambia petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huo nitalijenga kanisa na huo ndo msingi wa ukatoliki.wakatoliki hatufuati porojo tumefundishwa,elimishwa na tukaelimika.ni wachambuaji wa maswala si wakurupukaji na tunasimamia misingi yetu basi.hatuamini kuhusu visasi,chuki,dharau,kiburi,sifa na mambo yanayofanana na hayo.Siku zote tu wamoja na hatugawanyiki

Wewe ndiwe Simon Petro -Mwamba-na juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Wala milango ya kuzimu haitolishinda.
Maneno mazito sana hayo.
 
Mie sio muumini wa katoliki wala Lutheran.Kwani Bugando na KCMC zinahudumia wakatoliki na walutheri tu?
Mahakama ya kadhi ni ya waislamu tu tena wabakwata.Hakuna insalsuna wala shia!

Nakubaliana na wewe ukaribu wa kanisa na serikali na hasa kanisa katoliki na ndo maana hata ile memorandum of understanding kati ya kanisa na serikali ya kusaidia miradi ya kanisa na hasa kanisa katoliki mfano ya wazi serikali kusaidia uendeshwaji wa hospitali za kanisa za bugando na kcmc.

Sio vibaya serikali kufanya hivyo ila inatakiwa isifanye kwa dini moja tena kwa makubaliano endelevu namna ile utafikiri dini nyingine azihitaji huo msaada au kwa nn serikali isijenge hospitali nyingi za umma na kuacha dini husika iendeshe miradi yake yenyewe.

Kama inavyodaiwa kuwa mahakama ya kadhi iendeshwe na waislam wenyewe mm nakubali kabisa;na huko kwingine pawekwe level ili mambo yaende kama kawaida.
 
Back
Top Bottom