barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,587
Mtego huu, wanataka ardhi yetu.
Hiyo ardhi ya kumiliki Kenya itatoka wapi! Hii ina sound well kwa wasioweza kufikiria kwa ukamilifu!!
Hao ombaonba have more brains than you Kenyans and your authorities.kawaulize wachaga waliojaa gikomba market ama wale omba omba waliojaa barabarani Nairobi.
Hakuna ombaomba wa Kitanzania nchini Kenya, hili kila mara huwa nalirudia. Kuna matapeli wa Kitanzania huko, wakifanya utapeli kwa njia ya "ombaomba" wengi wao wanatokea ukanda wa ziwa na zaidi ni wasukuma tena wakinyantuzu, hakuna mnyantuzu masikini wa kutupwa huku.kawaulize wachaga waliojaa gikomba market ama wale omba omba waliojaa barabarani Nairobi.
Jamaa wameumwa Sana, povuuuu na roho chafu za kichawi.naona mme kereka kwa hilo jambo sana! as Kenyans, we do not expect RECIPROCITY! and not from danganyika anyway.
Na ni sawa pia na unyonyaji wa chumi za kibepari kwa mgongo wa globalisation, Mwalimu alishawahi Kuuliza,, "je NMB inaweza ikafungua branch New York na kuopareti"? Wajinga ndio waliwao.Mtu kama wewe unafaa ubaki huko huko Kenya, unajua maana ya mteja?.. mteja ni mtu anayependa kununua na mwenye uwezo wa kununua bidhaa husika, sasa kama kila mtu anapenda kuwa na ndege yake lakini hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kununua, hilo kampuni la kutengeneza ndege lazima litakufa, hapo kutakuwa hakuna accessibility ya hiyo bidhaa kwa wananchi.
Ardhi ya Kenya haipo accessible kwa wananchi wa kawaida, ni sawa na kufungua kiwanda cha kutengeneza ndege hapa East Afrika then tukajisifia kwamba tumewasogezea karibu upatikanaji wa ndege hapa hapa EA, hakuna haja ya kwenda Europe au USA.
rais hajasema mtoe mashamba yenu nyie wachawiMtu kama wewe unafaa ubaki huko huko Kenya, unajua maana ya mteja?.. mteja ni mtu anayependa kununua na mwenye uwezo wa kununua bidhaa husika, sasa kama kila mtu anapenda kuwa na ndege yake lakini hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kununua, hilo kampuni la kutengeneza ndege lazima litakufa, hapo kutakuwa hakuna accessibility ya hiyo bidhaa kwa wananchi.
Ardhi ya Kenya haipo accessible kwa wananchi wa kawaida, ni sawa na kufungua kiwanda cha kutengeneza ndege hapa East Afrika then tukajisifia kwamba tumewasogezea karibu upatikanaji wa ndege hapa hapa EA, hakuna haja ya kwenda Europe au USA.
Acha uongo wewe, kwanini mamilioni ya wakenya wamevuka mpaka kuja kutafuta ardhi ya kilimo na malisho ya mifugo huku Tanzania?, Ukubwa wa nchi ya Kenya ni sawa na nusu ya ukubwa wa Tanzania, na idadi ya watu ni karibu inalingana, na 2/3 ya ardhi ya Kenya haifai kwa kilimo, na hiyo 1/3 inayofaa kwa kilimo 50% inamilikiwa na matajiri na wanasiasa, hiyo ardhi unayosema wewe ni ipi?Ww jamaa utakuwa unaishi Kisarawe Dar na hujawahi kutoka nje ya dar, nenda saiti kijana
Kuna watanzania wengi sana wanamiliki ardhi nchini kenya, ana Wapo Watanzania wengi sana wamekodi mashamba nchini Kenya kwaajili cha Mahindi na Maharange
Vichwa vyenu sijui vipoje, wakenya wengi sana hasa wakamba ni wavivu kulima na yale mashamba yao wamewauzia Watanzania na mengine wameyakodisha kwa Watanzania......
Tembeeni
Hahaha kila Nchi ipambane na hali yakeHiyo danganya toto waje kuchukua ardhi yetu.. Hatudanganjiki.....
Sisi tunajua ni njia moja wapo ya kutaka wananchi wa Kenya waweze kuruhusiwa kwenda nchi yoyote kuanzisha makazi, hapo utaona makundi kwa makundi ya wapokot, na Turkana wakihamisha mifugo yao na kuvuka mpaka kuja huku, kule kaskazini wameshatengeneza jangwa, mapigano ya kule ni kwa ajili ya malisho na maji ya mifugo, wakisikia wanaruhusiwa kuja Tanzania, nchi ambayo eneo lake sawa na size ya nchi ya Kenya limehifadhiwa kama mapori ya taifa, ni green throught a year, wapokot wataacha kuja?rais hajasema mtoe mashamba yenu nyie wachawi
Ardhi yenyewe ya Tanzania pia INA mazonge kibao.sidhan kama mtanzania billionaire ataweza wekeza hapa kwa system hii iliyopo,system ya kipuuzi hii.Mkuu kwa hili hapana. Kenyatta ardhi yote asilimia kubwa ni ya familia yake. Hii hapana Tanzania hatutakuwa na wema huo kabsaaa. Ardhi yetu hakuna kutoa kwa wasio watz.
Acha uongo wewe, kwanini mamilioni ya wakenya wamevuka mpaka kuja kutafuta ardhi ya kilimo na malisho ya mifugo huku Tanzania?, Ukubwa wa nchi ya Kenya ni sawa na nusu ya ukubwa wa Tanzania, na idadi ya watu ni karibu inalingana, na 2/3 ya ardhi ya Kenya haifai kwa kilimo, na hiyo 1/3 inayofaa kwa kilimo 50% inamilikiwa na matajiri na wanasiasa, hiyo ardhi unayosema wewe ni ipi?
Hiyo ardhi ya kutosha mbona haijawatosha wakenya!Ukiwa na pesa yako tu unanunua ardhi Kenya na ipo ya kutosha.
Mi hata nawashangaa mkiongelea kuhusu ardhi kenya ilhali wengi wenu hamjawahi kanyaga Kenya na hamjui lolote,uliza yeyote, Kenya ni ndogo kwa map lakini ni kubwa sana ukiwa hapo, ardhi zinauzwa kila Mahali. Hata leo leo ukitaka ardhi by jioni ukilipa deposit utapata shamba, huku kenya ardhi ni kama vile kununua gariSerikali ya Kenya haimiliki ardhi kwa hiyo haina uhalali wa kuisemea ardhi! Ardhi ya Kenya inamilikiwa na watu binafsi! Kenyata hawezi kuisemea ardhi ya Kenya, ni uongo!
Sisi Tanzania ardhi inamilikiwa na serikali! Kwa hiyo kauli ya serikali kwa ardhi ni ya kuaminika!