Uhuru Kenyatta: Ruksa Watanzania kumiliki ardhi, kufanya kazi, kuishi, kuwekeza na kuhamia Kenya bila masharti

Nakuelewa ndg yangu uwingi wa wawalaji wa bidhaa nikitu muhimu Sana, nimejaribu kutoa maoni kutokana naliyoyapata kwenye soko, Wakenya wanasifa yakufanyia kazi udhaifu wa sisi Watanzania, miaka mitano iliyopita Tanzania husasani dar Es salaam lilikuwa ni soko la nchi zote zakusini la bidhaa za simu, Kenya wakaondoa kwenye bidhaa hizo ushauri Leo fanyia kazi mapato ya ndani ya wageni wanakwenda kununua bidhaa hata wa Zambia, Wamalawi, Wakongo Na Wanyarwanda wa nananua bidhaa hizo Nairobia si tu kununua bidhaa kulala tu kwa mtu Moja ni pesa, kwahiyo wao kama wakenya wanajua kuweka uhuru wa watu wa east Africa kuishi Kwao ni soko pana Sana machoni pa wawekezaji Ndugu yangu, hayo ndiyo maoni yangu,na ndiyo ukweli,Watanzania tunaumimi sana naniwagumu kufanya maamuzi kwenye kila sekta tunafanya kwa kutojiamini sijui kwanini?ebu chunguza kila sekta kwenye kilimo shida kwenye maamuzi shida,tukijichanganya kunamanufaa makubwa Sana
 
Kenya kuna ardhi ambayo Mtanzania anaweza kuipata? Mengime yote ni geresha tu interest ya Kenyatta ni Wakenya waweze kupata ardhi bwerere ya Tanzania.

Vv
 
Hiyo ardhi ya kumiliki Kenya itatoka wapi! Hii ina sound well kwa wasioweza kufikiria kwa ukamilifu!!
Neenda na hera yako kama utakosa kununua aridhi sio ya bure mpaka ununuwe amna nchi inayo gawa aridhi ya bure policy ya "willing seller na willing buyer" ipo kila sehemu. ndoanacho maanisha muache kukilili mambo aridhi Kenya ipo tatizo ni pesa, sio sera (policy) tena.
 
Hiyo danganya toto waje kuchukua ardhi yetu.. Hatudanganjiki.....
Uelewa wetu katika maswala ya regional intergretion ni mdogo sana Jama amesema mwishoni kwamba sio reciprocal.....au hatujui meaning ya hilo neno
 
kawaulize wachaga waliojaa gikomba market ama wale omba omba waliojaa barabarani Nairobi.
Wafukuzeni kama sisi tunacyowafukuza wakenya, au mnaogopa kutukasirisha?, kwa hilo mkiwafukuza hatutolipiza kisasi msiogope tumewaruhusu
 
Mi hata nawashangaa mkiongelea kuhusu ardhi kenya ilhali wengi wenu hamjawahi kanyaga Kenya na hamjui lolote,uliza yeyote, Kenya ni ndogo kwa map lakini ni kubwa sana ukiwa hapo, ardhi zinauzwa kila Mahali. Hata leo leo ukitaka ardhi by jioni ukilipa deposit utapata shamba, huku kenya ardhi ni kama vile kununua gari
Lugha za kijiweni hizo wakati unakunywa uji wa mtama au mchele, ukubwa wa nchi nzima ya Kenya ni zaidi kidogo ya ukubwa wa Tanzania, zaidi ya nusu ya ardhi ya Kenya sio nzuri kwa kilimo, unabaki na nusu ya nchi ya Kenya ambayo ni sawa na robo ya Tanzania ambayo inafaa kwa kilimo, kati ya hiyo robo ya Tanzania inayofaa, 30% inamilikiwa na matajiri, ardhi inayobaki ni sawa na 15% ya ardhi ya Tanzania, ikiwa idadi ya watu kati ya Kenya zinalingana, unapata wapi nguvu ya kusema mna ardhi ya kuwatosha?
 
Watanzania kila siku ardhi ardhi ardhi ardhi ebu jaribu kujiuliza ukiwa na sera nzuri ardhi itakuwa kama ilivyo sasa tatizo matumizi ya ardhi ya wewe unayesema ardhi umefanyia nn? Kukuongezea maisha bora, Barabara Bora, maji safi, nakazi Bora, sikuzote ardhi ardhi hatufanyi chochote, Israel inaardhi ndogo sana uzalishaji Na matumizi mkubwa kabisa, Tunachotaka ni Akili kubwa ya kupanga mambo, hayupo mgeni atakeyeweza kuondoka na ardhi ataitumia kwa kuleta maendeleo, Rais Kenyatta alichosema wanaafrika mashariki tutumie fusa za uwekezaji za kuishi na kujiendeleza kwa kufwata sheria za nchi Ya Kenya , bila ubaguzi hiyo ndiyo kauli yake,hapa kwetu ikitokea hivyo tutaanza neno Mzawa cha msingi nikuwekeza kwenye maarifa ili tuyafikie maendeleo, Tamko la Kenyatta Ni changamoto kwa wanaafrika mashariki, mipaka waliweka wakoloni wala siyo Amri kutoka kwa Mungu
 
Mi hata nawashangaa mkiongelea kuhusu ardhi kenya ilhali wengi wenu hamjawahi kanyaga Kenya na hamjui lolote,uliza yeyote, Kenya ni ndogo kwa map lakini ni kubwa sana ukiwa hapo, ardhi zinauzwa kila Mahali. Hata leo leo ukitaka ardhi by jioni ukilipa deposit utapata shamba, huku kenya ardhi ni kama vile kununua gari
Tuambie bei ya Square metre moja ya ardhi kwa mjini!
Binafsi nimeshafika Kenya. Sera ya ardhi Kenya inafahamika- it is a private property! The government has no say on land. Huwezi kualika watu Kenya wanunue ardhi wakati ardhi siyo ya kwako! Kwa Tanzania serikali ina uwezo wa kugawa ardhi hata bure maana inamiliki ardhi!
 
Pessimism is never viable. Wenye uwezo wataenda kama huna uwezo wa kuwekeza kenya tulia tu upambane na hali yako
Thimk twice. Haiwezekani Marekani akuambie tuondoe vikwazo vya kibiashara tuwe na free market na ukubali huku ukijua huna utakachouza kwake zaidi utakuwa Soko na mahali pa kuchukua yeye malighafi
 
'' Will full buyer and will full seller" ame grab ardhi yoote ya watu wake sasa anataka kututega? amechelewa sasa hivi wabongo wamerudia kwenye ubora wao kama zamani enzi za mwalimu mpaka wajamaa wakaanzisha kipindi cha maigizo kuwafundisha watu wao sheria na mwenendo wa kimahakama " VIOJA MAHAKAMANI" maana mbongo alikuwa anaenda kupiga dill wakimkamata kumpeleka mahakamani anawashida asubuhi na mapema.
 
Eti Kenya hamna mashamba. Watz ni washamba sana. Ukizitizama tv za Kenya utaona matangazo mengi sana ya mashamba yanayouzwa sehemu tofauti nchini. Magazetini, Nation, Standard kwenye kurasa za biashara utaona mashamba mengi sana yanayouzwa. Bora hela uwe nazo.
 
Back
Top Bottom