WAPIGA KURA ZAIDI YA MILIONI MOJA NA NUSU WAMEGUNDULIKA KUWA NA KASORO KWA HIYO HAWATAPIGA KURA,TUIULIZE HII NEC YA CCM,HAO WAPIGA KURA WENYE KASORO NI WA MAJIMBO GANI?ISIJE IKAWA JANJA YA NEC KUANDAA KURA KWA CCM,NA PENGINE WAKATOKA MAENEO AMBAYO CCM NI NGUMU KUPATA USHINDI:eek2: