Narejea maneno na wosia wa baba yangu ya kwamba '''MTU MPUMBAVU NA MJINGA AKIAMBIWA UKWELI YEYE HUFIKRI ANATUKANWA AMA HAPENDWI''' sasa naanza kuamini kwa hayo yanyotokea kwa tbc-ccm kwa kuamua kukata mawasiliano, lakini pia wakumbuke kwamba '''UKITAKA UBONDIA USIOGOPE NGUMI ZA USO''' bila shaka waliyakubali mageuzi ya vyama vingi kwa kutegemea vitu kama hivi vya kukosolewa sasa kama wao walitegemea kwamba siku zote wapinani wangekuwa watumwa wao na vibaraka wao wametepeta kwa mategemeo yao kudoda.....hahahahahaaaaaaaaaa na bado!!!!!!!!!!!!!!!