Uhamisho wa watumishi wa Serikali za Mitaa Juni 2014

msaada jamani me nimebadilishana kutoka moshi to mbozi lakin nimeandkiwa mosh to mufindi,nifanyeje? 0752230738
 
wengine tunatumia tecno ambazo hazifungui pdf files, tunaomba mtuwekee majina kwa vimeo vyetu. tuhurumiane wabeja.
 
msaada jamani me nimebadilishana kutoka moshi to mbozi lakin nimeandkiwa mosh to mufindi,nifanyeje? 0752230738

Pole sana hiyo ni misplacement tu za kibinadamu hasa fahamu kwamba hiyo orodha ya majina imekuwa typed na binadamu, nakushauri ufanye mawasiliano Tamisemi kwa kuripoti hili swala watakurekebishia.
 
nimepata mtu wa kubadil nae,so cjui utaratibu,naomba kujuzwa

Kwa ninavyofahamu, wewe na mwenzako unayetaka kubadilishana nae, kila mmoja anatakiwa kuandika barua ya kuomba kuhama, licha ya kumpata mtu wa kubadilishana nae unatakiwa kutoa vigezo yaani reasons mbili tatu, kunesha kwa nini unahitaji kuhama, hali kadhalika na mwenzako afanye hivyohivyo, baada ya hapo mkuu wako wa shule akusainie kisha peleka halmashauri yako wakupitishie, ila itabidi wewe uende ukaonekane na kusainiwa barua halmashauri unayotaka kwenda, hali kadhalika na mwenzako huyo ni hivyohivyo.......... maelezo mengine watakupatia halmashauri yako.
NB: wilaya zingine huwa wanahitaji muda uliokaa, ambao wanataka 3years, zingine si lazima huo muda.
 
wengine tunatumia tecno ambazo hazifungui pdf files, tunaomba mtuwekee majina kwa vimeo vyetu. tuhurumiane wabeja.[/QUOte/ download and install pdf progrm kwanye play store utaweza kusoma mkuu, natumia tecno mafaili yote nayasoma
 
Back
Top Bottom