Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Habari zenu wakuu,
Nina mdogo wangu yupo JKT, kwa kawaida vikosi tofauti huenda kufanyia usaili vijana waliopo huko mf; magereza, polisi n.k
Sasa huyu mdogo wangu alifanya usaili wa Uhamiaji na JWTZ siku chache zilizopita, elimu yake ni bachelor degree.
Kwa bahati nzuri amepata kote na baada ya wiki mbili wanatarajia kwenda JWTZ na uhamiaji ni baada ya wiki moja, yeye yupo njia panda hajajua aende wapi kati ya uhamiaji au JWTZ.
Hapa jf kuna wazoefu wa kila namna, naomba ushauri wenu. Huyo dogo nimshauri aende Uhamiaji au JWTZ, na kwanini?
Karibuni kwa ushauri wenu wakuu.
Nina mdogo wangu yupo JKT, kwa kawaida vikosi tofauti huenda kufanyia usaili vijana waliopo huko mf; magereza, polisi n.k
Sasa huyu mdogo wangu alifanya usaili wa Uhamiaji na JWTZ siku chache zilizopita, elimu yake ni bachelor degree.
Kwa bahati nzuri amepata kote na baada ya wiki mbili wanatarajia kwenda JWTZ na uhamiaji ni baada ya wiki moja, yeye yupo njia panda hajajua aende wapi kati ya uhamiaji au JWTZ.
Hapa jf kuna wazoefu wa kila namna, naomba ushauri wenu. Huyo dogo nimshauri aende Uhamiaji au JWTZ, na kwanini?
Karibuni kwa ushauri wenu wakuu.