Uhamiaji kutoa vibali maalum kwa Warundi waje kulima Tanzania

MKUU kama kuna maeneo Kwa nini wasiwapeleke wafugaji au wakulima watamaliza huo mgogo wa kupigana kila kukicha?

Halafu watangaze kwanza hayo maeneo Kwa watanzania kwanza kama kuna wanaohitaji watakwenda kuyatumia kabla ya kuwapa waburundi. Waangalie kwanza nyumbani kwao kabla ya kutoka nje.
Jamani nasisi tumezidi uvivu. Mpaka Warundi ndo watulimie mashamba?
 
Tumezidi kwa uvivu.Hivi tunataka kusema kwamba huko Kigoma na Tabora hakuna vijana wa kitanzania ambao hawana kazi? Kwanini wasilime hayo mashamba wapate pesa??
 
Tena mabinti wa kirundi walivyojaliwa chura wakija itakuwa balaaa

Ova
Tanzania isirahizishie tu wageni Bali pia irajlhishie wenyeji upataji passport.Kenya wanagawa passport kama njugu huhitaji barua ya mwaliko Wala uthibitisho wa nchi unakoenda.Rwanda wao mtoto akizaliwa au birth certificate ni ushahidi tosha kujipatia passport. Scholarship nyingi zinataka mtu awe Na passport anapoomba.Akienda kuomba passport Uhamiaji anatakiwa aeleze Anaenda nchi gani Na ushahidi wa mwaliko!!!!! Mitihani pale British Council ya kupima uwezo wa kiingereza Kwa ajili kusoma vyuo vya nje yaani International English Language Testing System yaani IELTS hujaa wahindi tu Sababu ile mitihani kuifanya kuna sehemu lazima ujaze passport namba yako kama kuna anayebisha aende siku mitihani hiyo inafanyika ni wahindi watanzania watupu..Sasa watanzania wengi hawawezi Fanya hiyo mitihani Sababu hawana passport Na hawana safari ya kwenda nchi yeyote.Wanachotaka wawe Na passport wafanye mitihani wakifaulu waombe vyuo vya nje admission Na Scholarship.Uhamiaji uendane Na Hali halisi hasa utoaji passport.Lakini pia kuna swala la kurudisha gharama za mradi wa passport.Tanzania mfano ikitoa passport Watu milioni mbili Kwa miaka Kwa laki Moja Na nusu Kwa Kila passport Uhamiaji uta kuwa Kwa mwaka umeingiza bilioni 300 kutoka Kwa waombaji.nashauri masharti yalegezwe Kila mwenye kitambulisho cha taifa akitaka Na Kila mtoto anayezaliwa wazazi wakitaka apewe cheti cha kuzaliwa Na passport.Na zoezi kama la kitambulisho vya taifa liende sambamba Na utoaji passport
 
Idara ya Uhamiaji nchini imeweka utaratibu wa kutoa kibali maalum kwa raia wa Burundi ambao wanataka kuja nchini kwa ajili ya kufanya shughuli za kilimo ikiwa ni moja ya nia za kupunguza raia wa nchi hiyo ambao huingia nchini kinyemela hususani katika mikoa ya Kigoma na Tabora kwa ajili ya kufanya kazi za kilimo kama vibarua.

Mpango huo umetangazwa na Kamishna Jenerali wa uhamiaji nchini Dk.Anna Makakala mwishoni mwa ziara yake iliyomfikisha katika wilaya zote na katika maeneo ya mpaka na nchi jirani mkoani Kigoma ambapo amesema vibali hivyo vya miezi mitatu vitawezesha raia hao kutambuliwa na serikali kupata fedha na kutambua wako wapi na idadi yao.

Kwa upande wao baadhi ya wananchi wamesema uamuzi huo wa idara ya uhamiaji utasadia kupunguza uhalifu na kuongeza tija katika kilimo pamoja na kujenga mahusiano mazuri na nchi jirani ya burundi ambayo raia wake wanaongoza kwa kuja nchini kufanya vibarua bila ya kibali na hivyo kuongeza idadi ya wahamiaji haramu.

Chanzo: ITV

My take:

Sikubaliani na uhamiaji kwa sababu wanaleta janga nchini.

Vita na vifo vya wafugaji na wakulima Tanzania vimepingua kutokana na maelewano ikiwemo uvumilivu na desturi. Sasa kuruhusu watu waje kulima, kutachochea rushwa na Ugomvi.

Nashauri watoa vibari kwa watu wanaotaka kuja kuwekeza kwenye Viwanda kwa sababu Serikali ya Magufuli ni Serikali ya Viwanda.
naona ndugu yao kaanza kuwatengezea tuaratibu wa kupata uraia na hatimae mamlaka.
 
Wanawake wakija kwa wing itapendeza zaidi Maana ni wakarimu wanajua pia kuwa handle wanaume

Ova
 
Mpango mzuri sana. Na wale waethiopia ambao mara kwa mara wanatusumbua kupita nchini mwetu nao tuwawekee utaratibu kama huu. Waje walime Tz kwa ujira maalum.
 
Waje Tu wanapiga kazi sana ukienda ngara,geita,biharamuro. Uhamiaji wawe makini kunawengi walisha jichanganya vijijini nakupata wenyekiti waki jiita waha
 
Very good move. Hii tabia ya kukamata hawa wananchi masikini wanaojitafutia riziki kwa jasho lao ifike mwisho. Most ya Hawa Watu kutoka Burundi wanakuja kutafuta maisha thru vibarua nk. Wakipewa vibali itapunguza rushwa na uonevu wa polisi wetu dhidi ya hawa wananchi masikini!

Africa is one!
[B]Masanja[/B], kuna wakati unaiacha mdomo wazi...kwa hiyo hoja na Africa is one, je hivi vibali vitatolewa kwa Warundi tu au kwa majirani zetu wote? Je Wanyarwanda? Je Wakenya?, Je Wamalawi?...ama hawa hawahitaji vibali! Kwa kweli ndani ya awamu hii tuna nati kichwani zinahitaji kukazwa!
 
Wanakuja kama vibarua kwenye mashamba ya watanzania hivyo ndivyo nilivyoelewa mimi, si kwamba wanapewa ardhi walime kwaajili yao; labda tuwahimize uhamiaji kufanya ufuatiliaji wa hali ya juu kuhakikisha vibali vitumike kwa malengo kusudiwa na pia muda wake ukiisha mhusika afanye maombi upya au arejeshee nchini mwake
 
Huyo rais wao nae karidhika watu wake waje kufanya kazi za mashambani huku Tanzania badala ya kufanya kazi za kujenga uchumi wa Burundi?
 
makaka_0.jpg


Idara ya Uhamiaji nchini imeweka utaratibu wa kutoa kibali maalum kwa raia wa Burundi ambao wanataka kuja nchini kwa ajili ya kufanya shughuli za kilimo ikiwa ni moja ya nia za kupunguza raia wa nchi hiyo ambao huingia nchini kinyemela hususani katika mikoa ya Kigoma na Tabora kwa ajili ya kufanya kazi za kilimo kama vibarua.


Mpango huo umetangazwa na Kamishna Jenerali wa uhamiaji nchini Dk.Anna Makakala mwishoni mwa ziara yake iliyomfikisha katika wilaya zote na katika maeneo ya mpaka na nchi jirani mkoani Kigoma ambapo amesema vibali hivyo vya miezi mitatu vitawezesha raia hao kutambuliwa na serikali kupata fedha na kutambua wako wapi na idadi yao.


Kwa upande wao baadhi ya wananchi wamesema uamuzi huo wa idara ya uhamiaji utasadia kupunguza uhalifu na kuongeza tija katika kilimo pamoja na kujenga mahusiano mazuri na nchi jirani ya burundi ambayo raia wake wanaongoza kwa kuja nchini kufanya vibarua bila ya kibali na hivyo kuongeza idadi ya wahamiaji haramu.


Chanzo: ITV
Katika dunia hii umewahi kuona wapi nchi inatoa ardhi kwa raia wa nchi nyingine kwenda kulima. Hii yote itakuwa janja ya serikali ya kuhalalisha kuwagawia warundi ardhi. Ukiwaruhusu raia wa nchi nyingine kuingia nchini kwako eti kwa kulima wakati kuna raia wako unawakamata na kuwauzia mifugo yao kwa kukosa malisho.Hivi hao wanyarwanda wakija wakatalia kutoka c ndio mtasema vita c ndio Kagame ataanza kulisogeza jeshi lake. Kwa kweli Magufuli analeta vitu ambavyo havipo ktk nchi yoyote. Kagame kamshika pabaya. Anampenda mamaake Kagame kuliko watanzania. Hivi mnamjua Kagame yule ni mafia jambazi
 
Katika dunia hii umewahi kuona wapi nchi inatoa ardhi kwa raia wa nchi nyingine kwenda kulima. Hii yote itakuwa janja ya serikali ya kuhalalisha kuwagawia warundi ardhi. Ukiwaruhusu raia wa nchi nyingine kuingia nchini kwako eti kwa kulima wakati kuna raia wako unawakamata na kuwauzia mifugo yao kwa kukosa malisho.Hivi hao wanyarwanda wakija wakatalia kutoka c ndio mtasema vita c ndio Kagame ataanza kulisogeza jeshi lake. Kwa kweli Magufuli analeta vitu ambavyo havipo ktk nchi yoyote. Kagame kamshika pabaya. Anampenda mamaake Kagame kuliko watanzania. Hivi mnamjua Kagame yule ni mafia jambazi
Uongozi wa kujipendekeza tu
 
Hili linanikumbusha Misri ya kale, ilipokuja kuchukukuliwa na Asiatics,watu kutoka bara la Asia walikuwa wanajiingilia kiholela mpaka Pharao akatoa amri ya kuua watoto wao wa kiume lakini waapi...ikawa too late mpaka leo Misri imetwaliwa na watu wa bara Asia.
 
Bongo ni kwa maziwa na asali, Na nyie si hua mnaendaga Uarabuni kufanya kazi za ndani kwa vibali maalum...
 
Hiki ni kichekesho cha karne...!!
Yaani raia wa nchi nyingine apewe kibali kuja kulima Tanzania kwani huko Burundi hakuna Ardhi..?
Je, wanakuja kama vibarua wa kwenye mashamba ya Watanzania au wanaanzisha mashamba yao? Je, hicho chakula au mazao wakivuna wanapeleka Burundi au yanabaki Tanzania? Je, wakiuza hiyo fedha wanapeleka kwao au wanatumia wakiwa Tanzania tu?

Hii siyo bure...!!Ukizama deep kwenye hii policy inaelekea kutaka kuhalalisha WARUNDI NA WANYARWANDA KUHAMIA TANZANIA.....Hii maneno tunasikia juujuu kuwa Mkulu wa nchi ana ka-asili ka kutokea pande za Banyamlenge, Intarahamwe na M-23 inawezekana kuna ukweli Fulani.!!! Tusibiri maana yajayo yanafurahisha.


Wengi ni vibarua mkuu,wanakuja tu kulima kwenye mashamba huku bongo.
 
Back
Top Bottom