Zoezi la kuhakiki wafanyakazi kigoma limeanza jumamosi(tr14/01/2012)mimi nimefanya jana,ila hakuna chochote,unatakiwa uwe na kitambulisho na saraly slip tu,unaweka sign ktk karatas zao ambazo zina majina ya watumish wa halimashauri yote,
Wanatoka Dar es salaam
Huku Tanga zoezi linaendelea pia!hii inchi ni shamba la bibi kila mtu anawahi chake!