Mzee akilimari nimemsikia akilaumu kuhusu shafii dauda kumpigia simu maximo kua asije kuifundisha yanga,. Nauliza je kwanini shafii ageuke kuwa msemaji wa yanga?
Kumbe Mzee akilimali naye yuko JF.
Mzee akilimari nimemsikia akilaumu kuhusu shafii dauda kumpigia simu maximo kua asije kuifundisha yanga,. Nauliza je kwanini shafii ageuke kuwa msemaji wa yanga?
alimuepusha na bakora za jangwani siku ambayo mngefungwa na vidume simba!!Mzee akilimari nimemsikia akilaumu kuhusu shafii dauda kumpigia simu maximo kua asije kuifundisha yanga,. Nauliza je kwanini shafii ageuke kuwa msemaji wa yanga?
Kaka kiiza nimeipenda hiyo T-shirt nitainunua kwa gharama yyote ,tutafutane...alimuepusha na bakora za jangwani siku ambayo mngefungwa na vidume simba!!
alimuepusha na bakora za jangwani siku ambayo mngefungwa na vidume simba!!
Walitoka sare ya moja moja, huku kiungo aliyesajiliwa toka Yanga Kigi Makasi akiifungia Simba.mshaingiza topiki nyingine !!
Vipi simba na express, mwenye matokeo ?
Ndiyo maana nikasema Mzee Akilimali alete ushahidi, huwezi kuita press ovyo tu kwa hoja nyepesi.