Hata kama Shafii Dauda alimpigia simu na kumtumia e mail Maximo, hakuwa amefanya kosa. Ametumia haki yake ya msingi ya kujieleza na kutoa maoni. Timu za Yanga na Simba zina utamaduni wa kuwadhulumu makocha na wachezaji, zinatia aibu
bado sijaelewaa.. kuna ushahidi..?
Mzee akilimari nimemsikia akilaumu kuhusu shafii dauda kumpigia simu maximo kua asije kuifundisha yanga,. Nauliza je kwanini shafii ageuke kuwa msemaji wa yanga?
Ushabiki unatupofusha, wewe na akili yako unaamini maneno ya mzee Akilimali na kuanza kumlaumu Shafii, una uhakika gani alichosema mzee ni kweli na hata kama ni kweli Shafii ana influence gani hadi Maximo amkubalie na aamue kutofuata makubaliano yao kama yalikuwepo.Mzee akilimari nimemsikia akilaumu kuhusu shafii dauda kumpigia simu maximo kua asije kuifundisha yanga,. Nauliza je kwanini shafii ageuke kuwa msemaji wa yanga?
Kabla ya kuhukumu Clouds na Shaffi, huyo mzee Akilimali alete ushahidi.Clouds FM imekaa ki-Simba zaidi.Inaanza kupoteza mwelekeo.
hapo imekaaa kiyanga zaidi..
Kabla ya kuhukumu Clouds na Shaffi, huyo mzee Akilimali alete ushahidi.
Yanga wanatakiwa wafanye uchaguzi na kupata viongozi, hawawezi kuendelea kuwa na watu wanaotaka kuendeleza malumbano yanayoleta chuki zisizo na msingi
hahaha, ndala bwana, a.k.a kandambili....pasua kichwa.
Hata kama Shafii Dauda alimpigia simu na kumtumia e mail Maximo, hakuwa amefanya kosa. Ametumia haki yake ya msingi ya kujieleza na kutoa maoni. Timu za Yanga na Simba zina utamaduni wa kuwadhulumu makocha na wachezaji, zinatia aibu
Maximo ana mkataba na timu ya Democrata ya Brazil hivyo ni vigumu kwake kukurupuka na kuja Yanga.Kuna maswala ya
mkataba kuheshimiwa.Na kwa vile Maximo anaheshimu mkataba hawezi kuja kiholela.Mzee Akilimali kama ana ushahidi autoe
ili umma ujue ukweli.Na sio kutafuta syndabock mambo yanapokwama.